Sunday, October 12, 2025
spot_img
HomeMichezo🏆 Ligi ya Championship kuwaka leo — Kaseja,Nsajigwa watunishiana misuli

🏆 Ligi ya Championship kuwaka leo — Kaseja,Nsajigwa watunishiana misuli

Ligi ya Championship Tanzania Bara msimu wa 2025/26 inaanza leo, ambapo Kagera Sugar watamenyana na Transit Camp kwenye Uwanja wa Kaitaba, wakati Mbuni FC wakiwaalika Mbeya Kwanza jijini Arusha.

Kocha wa Kagera, Juma Kaseja, amesema lengo ni kushinda mechi mbili za kwanza nyumbani ili kurudisha timu Ligi Kuu.

“Tulishuka wote, tunapanda wote. Pointi sita nyumbani ni lazima,” alisema.

Kocha wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa, amesema wanajua ugumu wa mchezo lakini hawatoki bila pointi.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments