Afya

Muhimbili yapokea msaada wa Darubini ya upasuaji kutoka Interplast Germany

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) hivi karibuni imepokea msaada wa darubini ya kisasa ya upasuaji (surgical microscope) kutoka Interplast Germany itakayosaidia katika kufanya upasuaji mgumu unaohusisha mishipa ya damu, taratibu za urekebishaji wa uso na ngozi, pamoja na mfumo wa tezi za kinga. Kwa mujibu wa Kiongozi wa Mipango kutoka Interplast Prof. Juergen Dolderer, ameeleza […]

Muhimbili yapokea msaada wa Darubini ya upasuaji kutoka Interplast Germany Read More »

Prof. Mwandosya kinara wa matibabu ya saratani nchini – Dk. Biteko

📌Dk. Biteko azindua Kitabu cha Living with Cancer cha Prof.  Mark Mwandosya 📌 Watanzania watakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya 📌Serikali yaimarisha huduma za uchunguzi na matibabu ya saratani Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amemuelezea  Prof. Mark Mwandosya kuwa ni

Prof. Mwandosya kinara wa matibabu ya saratani nchini – Dk. Biteko Read More »

Amref Tanzania na NBC Dodoma Marathon kuboresha huduma kwa watoto wenye usonji

Dodoma, Tanzania, 28 Julai 2025 – Amref Health Africa – Tanzania imepokea msaada wa shilingi milioni 100 za Kitanzania (sawa na takribani dola 38,500 za Kimarekani) kutoka Benki ya NBC wakati wa mbio za NBC Marathon 2025 zilizofanyika Dodoma. Fedha hizo zitatumika kufadhili mafunzo kwa wauguzi 100 ili kusaidia watoto wenye changamoto ya usonji. Mbio

Amref Tanzania na NBC Dodoma Marathon kuboresha huduma kwa watoto wenye usonji Read More »

Miss World, Miss Africa watembelea wodi ya watoto njiti na Doris Mollel Foundation

16 Julai 2025 – Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam: Mrembo wa Dunia Miss World [@suchaaata], pamoja na Miss Africa [@hasset_dereje] wakiwa na mdau wa masuala ya afya na mitindo Mustafa Hassanali [@mustafahassanali], wametembelea wodi ya watoto njiti katika Hospitali ya Mwananyamala kwa kushirikiana na Doris Mollel Foundation. Katika ziara hiyo ya kugusa maisha, warembo hao wameonyesha kuguswa na hali ya watoto njiti

Miss World, Miss Africa watembelea wodi ya watoto njiti na Doris Mollel Foundation Read More »

Dk. Mpango asisitiza ushiriki serikali, wadau wa afya na jamii kuimarisha huduma

📌Amref Tanzania yasisitiza kuimarisha mifumo ya afya ngazi ya jamii nchini Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, wadau wa afya na jamii katika kuimarisha huduma za afya nchini. Kauli hiyo ameitoa leo wakati akifungua Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri unaofanyika jijini Dodoma. Mkutano

Dk. Mpango asisitiza ushiriki serikali, wadau wa afya na jamii kuimarisha huduma Read More »

Kongamano la 13 MUHAS: Mifumo ya afya, teknolojia na mustakabali wa afya

Watafiti katika sekta ya afya wamefanikiwa kuwasilisha tafiti zaidi ya 200 katika Kongamano la 13 la Kisayansi la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), tafiti ambazo zimeelekezwa katika kusaidia jamii katika nyanja mbalimbali zikiwemo matumizi ya dawa, mifumo ya afya, afya ya akili pamoja na matumizi ya teknolojia. Akizungumza Juni 19, 2025

Kongamano la 13 MUHAS: Mifumo ya afya, teknolojia na mustakabali wa afya Read More »

Majaliwa ataka uwekezaji katika tafiti zenye tija kwa wananchi

▪️Ataka matokeo ya tafiti hizo yatumike badala ya kuyafungia ▪️Awataka wadau wa Sekta ya Afya kuongeza uwekezaji katika vifaa tiba na teknolojia mpya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa Sera kuwekeza katika tafiti zenye tija kwa wananchi.  Amesema kufanya hivyo, kutawezesha kuwa na matokeo ambayo yatatumika kutengeneza sera na mipango ya utekelezaji

Majaliwa ataka uwekezaji katika tafiti zenye tija kwa wananchi Read More »

WHO yaitambua rasmi Novemba 17 kuwa Siku ya Watoto Njiti Duniani

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza rasmi kuijumuisha tarehe 17 Novemba katika kalenda yake ya kimataifa kama Siku ya Watoto Njiti Duniani, ikiwa ni hatua muhimu ya kutambua na kuhamasisha jitihada za kulinda maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda kamili wa ujauzito. Hatua hii ni ushindi mkubwa kwa sekta ya afya ya uzazi duniani, na hasa kwa nchi

WHO yaitambua rasmi Novemba 17 kuwa Siku ya Watoto Njiti Duniani Read More »