Afya

Shirikianeni na MSD kwenye mipango yenu kuboresha upatikanaji bidhaa za afya

Wadau wa Sekta ya Afya mkoani Kigoma, wametakiwa kushirikiana na MSD kwa ukaribu katika utekelezaji majukumu na mipango yao, Ili kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya nchini. Rai hiyo imetolewa hii leo, na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Hassan Rungwa wakati akifungua kikao kazi cha wadau na wateja wa MSD kutoka Mkoa wa Kigoma,

Shirikianeni na MSD kwenye mipango yenu kuboresha upatikanaji bidhaa za afya Read More »

Serikali yapongeza Wiki ya Ubunifu MUHAS, yaahidi kushauri na kusaidia teknolojia za kiafya

DAR ES SALAAM, Aprili 25, 2025 – Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa inaunga mkono jitihada za ubunifu katika sekta ya afya zinazofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), hasa zile zinazolenga kutafuta suluhisho la changamoto mbalimbali za kiafya nchini. Akizungumza katika hafla ya kufunga Wiki ya Ubunifu ya MUHAS jijini Dar

Serikali yapongeza Wiki ya Ubunifu MUHAS, yaahidi kushauri na kusaidia teknolojia za kiafya Read More »

Dk. Tulia aongoza upimaji macho bure kwa wananchi wa Mbeya

📍 Mbeya, Aprili 18, 2025 Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust, ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson, leo ameongoza mamia ya wananchi wa Mkoa wa Mbeya katika zoezi la upimaji macho na utoaji wa matibabu bure. Zoezi hilo ambalo linatolewa kwa siku tatu mfululizo, limeanza rasmi katika Shule ya Msingi

Dk. Tulia aongoza upimaji macho bure kwa wananchi wa Mbeya Read More »