Malalamiko kwa MSD yamepungua kabisa – DC Kitwale
Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Deusdedith Kitwale ameipongeza Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, kwa kuboresha na kuimarisha huduma zake Mkoani humo, hali iliyowezesha kupungua kwa malalamiko ya wateja na wananchi kwa ujumla. Kitwale amewapongeza watumishi wa MSD Kanda ya Tabora, kwa utendaji mzuri, chini ya uongozi wa Meneja Kanda hiyo Bw. Rashid Omary […]
Malalamiko kwa MSD yamepungua kabisa – DC Kitwale Read More »