Kongamano la 13 MUHAS: Mifumo ya afya, teknolojia na mustakabali wa afya
Watafiti katika sekta ya afya wamefanikiwa kuwasilisha tafiti zaidi ya 200 katika Kongamano la 13 la Kisayansi la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), tafiti ambazo zimeelekezwa katika kusaidia jamii katika nyanja mbalimbali zikiwemo matumizi ya dawa, mifumo ya afya, afya ya akili pamoja na matumizi ya teknolojia. Akizungumza Juni 19, 2025 […]
Kongamano la 13 MUHAS: Mifumo ya afya, teknolojia na mustakabali wa afya Read More »