Afya

Serikali yaanzisha mwongozo wa Autism, yaanza kuwafundisha walimu 4,000

Serikali imeanza kutoa mafunzo kwa walimu 4,000 wa shule za msingi na sekondari ili kuwawezesha kutambua mapema dalili za matatizo ya usonji (Autism Spectrum Disorders – ASD) kwa watoto. Dkt. Omary Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa Yasiyoambukiza na Afya ya Akili katika Wizara ya Afya, alitoa taarifa hiyo Jumatano wiki hii katika kongamano la 13 […]

Serikali yaanzisha mwongozo wa Autism, yaanza kuwafundisha walimu 4,000 Read More »

MSD Yapeleka Mashine za Kisasa za AI JKCI kwa Shilingi Milioni 800

Bohari ya Dawa (MSD) imenunua na kupeleka mashine za kisasa zenye Tekinolojia ya akili mnembo (Artificial Intelligence) kwa ajili ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ili kuiwezesha taasisi hiyo kutoa huduma za kisasa. Mashine hizo ambazo baadhi tayari zimefungwa zinatarajia kuanza kutoa huduma muda wowote kuanzia sasa. Akizungumza baada ya kupokea mashine hizo

MSD Yapeleka Mashine za Kisasa za AI JKCI kwa Shilingi Milioni 800 Read More »

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu yafariji watoto wagonjwa Muhimbili

Wanawake wa Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kidakio cha Pwani wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wazazi wa watoto waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Msaada huo ni katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ambapo Kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Arusha Machi 8, 2025.   Afisa Maendeleo a Jamii wa bonde hilo, Flora Muro,

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu yafariji watoto wagonjwa Muhimbili Read More »

Hospitali ya Aga Khan ipo tayari kutoa huduma ya dharula wageni mkutano wa nishati

Katika kuhakikisha wageni watakaohudhuria mkutano mkubwa wa nishati wanakuwa salama kiafya muda wote, Waziri wa Afya Jenister Muhagama ametembelea hospitali ya Aga Khan iliyoko Jijini Dar es Salaam kwaajili kuangalia namna walivyojipanga kupokea wagonjwa ikitokea dharula. Mkutano huo utawakutanisha Wakuu wa Nchi 53 wa Afrika wanaojihusiha na masuala ya nishati unaotarajiwa kufanyika kuanzia kesho na

Hospitali ya Aga Khan ipo tayari kutoa huduma ya dharula wageni mkutano wa nishati Read More »

Mkurugenzi wa Tiba Muhimbili ateuliwa bosi Kitengo cha Huduma za Tiba Umoja wa Afrika

Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. John Rwegasha ameteuliwa kushika wadhifa wa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Tiba, Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) yenye makao makuu yake nchini Addis Ababa, Ethiopia ambapo anatarajiwa kuanza kazi Februari, 2025. Akiagana na Menejimenti ya MNH mwishoni mwa wiki hii, Dkt. Rwegasha

Mkurugenzi wa Tiba Muhimbili ateuliwa bosi Kitengo cha Huduma za Tiba Umoja wa Afrika Read More »

Wasanii wampongeza Rais Samia kwa fursa kupima moyo bure JKCI

WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza Rais kwa kuwapa fursa hiyo. Akizungumza  wakati wa uchunguzi wa moyo kwa wasanii hao jana, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dk. Peter Kisenge alisema amefurahi kuona wasanii wanachangamkia fursa hiyo na kuwataka

Wasanii wampongeza Rais Samia kwa fursa kupima moyo bure JKCI Read More »