Serikali yaanzisha mwongozo wa Autism, yaanza kuwafundisha walimu 4,000
Serikali imeanza kutoa mafunzo kwa walimu 4,000 wa shule za msingi na sekondari ili kuwawezesha kutambua mapema dalili za matatizo ya usonji (Autism Spectrum Disorders – ASD) kwa watoto. Dkt. Omary Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa Yasiyoambukiza na Afya ya Akili katika Wizara ya Afya, alitoa taarifa hiyo Jumatano wiki hii katika kongamano la 13 […]
Serikali yaanzisha mwongozo wa Autism, yaanza kuwafundisha walimu 4,000 Read More »