Afya

Dk. Tulia aongoza upimaji macho bure kwa wananchi wa Mbeya

📍 Mbeya, Aprili 18, 2025 Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust, ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson, leo ameongoza mamia ya wananchi wa Mkoa wa Mbeya katika zoezi la upimaji macho na utoaji wa matibabu bure. Zoezi hilo ambalo linatolewa kwa siku tatu mfululizo, limeanza rasmi katika Shule ya Msingi

Dk. Tulia aongoza upimaji macho bure kwa wananchi wa Mbeya Read More »

Serikali yaanzisha mwongozo wa Autism, yaanza kuwafundisha walimu 4,000

Serikali imeanza kutoa mafunzo kwa walimu 4,000 wa shule za msingi na sekondari ili kuwawezesha kutambua mapema dalili za matatizo ya usonji (Autism Spectrum Disorders – ASD) kwa watoto. Dkt. Omary Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa Yasiyoambukiza na Afya ya Akili katika Wizara ya Afya, alitoa taarifa hiyo Jumatano wiki hii katika kongamano la 13

Serikali yaanzisha mwongozo wa Autism, yaanza kuwafundisha walimu 4,000 Read More »

MSD Yapeleka Mashine za Kisasa za AI JKCI kwa Shilingi Milioni 800

Bohari ya Dawa (MSD) imenunua na kupeleka mashine za kisasa zenye Tekinolojia ya akili mnembo (Artificial Intelligence) kwa ajili ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ili kuiwezesha taasisi hiyo kutoa huduma za kisasa. Mashine hizo ambazo baadhi tayari zimefungwa zinatarajia kuanza kutoa huduma muda wowote kuanzia sasa. Akizungumza baada ya kupokea mashine hizo

MSD Yapeleka Mashine za Kisasa za AI JKCI kwa Shilingi Milioni 800 Read More »

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu yafariji watoto wagonjwa Muhimbili

Wanawake wa Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kidakio cha Pwani wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wazazi wa watoto waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Msaada huo ni katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ambapo Kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Arusha Machi 8, 2025.   Afisa Maendeleo a Jamii wa bonde hilo, Flora Muro,

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu yafariji watoto wagonjwa Muhimbili Read More »