Waziri Mhagama awasihi waumini Peramiho kupima afya zao
Na WAF – Peramiho, Ruvuma Waziri wa Afya Jenista Mhagama leo tarehe 20 Aprili 2025, amewasihi waumini wa Kanisa la Kigango cha Liula Parokia ya Matimira, Peramiho mkoani Ruvuma kutumia fursa za uwepo wa Madaktari Bingwa mkoani Ruvuma kupima afya zao pamoja na kusherehekea sikukuu ya Pasaka. Akizungumza baada ya ibada hiyo, Waziri Mhagama amewataka […]
Waziri Mhagama awasihi waumini Peramiho kupima afya zao Read More »