MUHAS yakutanisha madaktari kujadili ugonjwa wa saratani
DAKTARI Bingwa wa saratani kutoka Chuo cha Clearview Cancer Institute nchini Marekani, Dk. Jeremy Hon, amewashauri madaktari na wauguzi nchini kuwa na kauli nzuri ya kuwasiliana na wagonjwa wa saratani ili kuwapa moyo kwani wengi wao umekata tamaa kutokana na ugonjwa huo unachukua muda mrefu kupona. Bingwa huyo ametoa kauli hiyo jana wakati wa Kongamano […]
MUHAS yakutanisha madaktari kujadili ugonjwa wa saratani Read More »