Afya

Mhagama atoa kongole kwa Amref Tanzania katika kupambana na UKIMWI

Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amelipongeza Shirika la Amref Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika mapambano dhidi ya UKIMWI, hasa kupitia matumizi ya teknolojia ya kisasa ya utambuzi wa vidole (Biometric Fingerprint) kusaidia utoaji wa huduma bora za afya. Mhagama ametoa pongezi hizo wakati wa ziara yake katika banda la Amref Tanzania kwenye Viwanja vya

Mhagama atoa kongole kwa Amref Tanzania katika kupambana na UKIMWI Read More »

Kambi Tiba ya Madaktari wa Tanzania Comoro yaanza kwa kishindo

KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali mbali zinazotolewa kwa ushirikiano na madakatari wazawa katika Kisiwa cha Ngazidja. Madaktari hao wa Tanzani wametoa huduma za uchunguzi na matibabu katika matatizo ya mifupa,figo na kibofu cha mkojo, mifupa, saratani,

Kambi Tiba ya Madaktari wa Tanzania Comoro yaanza kwa kishindo Read More »

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kwenye Utalii wa Tiba

📌Madaktari bingwa 20 waenda Comoro kutoa matibabu MADAKTARI bingwa 20 kutoka hospitali kubwa nchini wamesafiri kwenda nchini Comoro kwaajili ya kuweka kambi ya wiki moja ya uchunguzi na utoaji huduma za kibingwa za magonjwa mbalimbali ikiwemo upasuaji wa moyo, saratani na ubongo. Madaktari hao wanatoka  Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Saratani ya Ocean

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kwenye Utalii wa Tiba Read More »

Dk. Rutachunzibwa: Mtanzania wa kwanza kutibu saratani bila upasuaji

Dk. Fredy Rutachunzibwa wa Hospitali ya Kairuki ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kufuzu mafunzo ya kutibu saratani kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya HIFU (High-Intensity Focused Ultrasound). Teknolojia hiyo inatoa tiba isiyo ya upasuaji kwa kutumia mawimbi ya sauti yenye nguvu kuteketeza seli za saratani kwa usahihi. Akizungumza leo Dk. Rutachunzibwa ameeleza kuwa

Dk. Rutachunzibwa: Mtanzania wa kwanza kutibu saratani bila upasuaji Read More »

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa mtoto Maliki aliyekatwa koo na dada wa kazi

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imerejesha tabasamu kwa mtoto Maliki Hashimu (6), mkazi wa Goba, Dar es Salaam, aliyekatwa koo na anayedaiwa kuwa ni dada wa kazi ‘hausigeli’. Maliki, ametibiwa kwa miezi minne MNH,  kwa matibabu yaligharimu Sh. milioni 15 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa msaada wa Rais Samia Suluhu Hassan.  Maliki, alipoteza

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa mtoto Maliki aliyekatwa koo na dada wa kazi Read More »

Tanzania yajipanga kutokomeza polio

TANZANIA imeweka mikakati madhubuti ya kuzuia na kutokomeza kabisa ugonjwa wa polio, kwa kuhakikisha hakuna visa vipya vitakavyoingia nchini. Mikakati hiyo imewekwa  na nchi kama njia ya kukabiliana na ugonjwa huo ambao hivi karibuni, umeripotiwa katika nchi za Kenya, Uganda, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia  ya Congo (DRC). Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Kinga kutoka Wizara

Tanzania yajipanga kutokomeza polio Read More »