Wasanii wampongeza Rais Samia kwa fursa kupima moyo bure JKCI
WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza Rais kwa kuwapa fursa hiyo. Akizungumza wakati wa uchunguzi wa moyo kwa wasanii hao jana, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dk. Peter Kisenge alisema amefurahi kuona wasanii wanachangamkia fursa hiyo na kuwataka […]
Wasanii wampongeza Rais Samia kwa fursa kupima moyo bure JKCI Read More »