NMB kuchangia Bil. 1/- gharama za Matibabu ya Watoto JKCI
BENKI ya NMB na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wamesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha benki hiyo kusaidia gharama za matibabu ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo kwa kiasi cha Sh. Bilioni 1 kwa miaka minne, sawa na Sh. Milioni 250 kwa mwaka. Makubaliano hayo yamesainiwa jana Alhamisi Oktoba 31, na Afisa Mtendaji Mkuu […]
NMB kuchangia Bil. 1/- gharama za Matibabu ya Watoto JKCI Read More »