Dk. Rutachunzibwa: Mtanzania wa kwanza kutibu saratani bila upasuaji
Dk. Fredy Rutachunzibwa wa Hospitali ya Kairuki ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kufuzu mafunzo ya kutibu saratani kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya HIFU (High-Intensity Focused Ultrasound). Teknolojia hiyo inatoa tiba isiyo ya upasuaji kwa kutumia mawimbi ya sauti yenye nguvu kuteketeza seli za saratani kwa usahihi. Akizungumza leo Dk. Rutachunzibwa ameeleza kuwa […]
Dk. Rutachunzibwa: Mtanzania wa kwanza kutibu saratani bila upasuaji Read More »