Afya

Arejeshewa tabasamu baada ya upasuaji kuondolewa uvimbe wa kilo tano uliomtesa miaka 25

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imefafanua saa nne za upasuaji mkubwa aliofanyiwa Kalume Ally Kalume, kumuondoa kilo tano za uvimbe mwilini, ambaye tatizo lake limebainika ni la kuzaliwa nalo. Kadhalika, Kalume ambaye alilazwa hospitalini hapo kwa takribani siku 23, anasubiri kufanyiwa  upasuaji wa pili katika hospitali hiyo, sehemu ya mguuni ambako pia kuna uvimbe. Kalume,

Arejeshewa tabasamu baada ya upasuaji kuondolewa uvimbe wa kilo tano uliomtesa miaka 25 Read More »

Atolewa uvimbe kwenye kizazi wenye gramu 800, ulimtesa kwa miaka 10

Madaktari Bingwa wa Samia Suluhu Hassan wamefanikiwa kumtoa uvimbe kwenye kizazi wenye uzito wa gramu 800 mwanamke mwenye miaka 49 jina limeifadhiwa alioishi nao kwa zaidi ya miaka 10. Hayo yamebainishwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Dk. Emmanuel Ngadaya kutoka Hospitali Rufaa ya Kanda ya Kusini aliyeongoza jopo la Madaktari Bingwa

Atolewa uvimbe kwenye kizazi wenye gramu 800, ulimtesa kwa miaka 10 Read More »

Wananchi Tandahimba wafunguka kuwasogezea huduma za kibingwa

Wananchi wa mkoani Mtwara wilaya ya Tandahimba wamshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwasogezea Huduma za kibingwa na Bingwa Bobezi karibu na kuwawezesha kutosafiri umbali mrefu kufuata Huduma. Shukrani hizo zimetolewa leo na baadhi ya Wananchi walio jitokeza kupata Huduma kwa madaktari bingwa wa Rais Samia

Wananchi Tandahimba wafunguka kuwasogezea huduma za kibingwa Read More »

Uwekezaji wa Serikali ulete matokeo chanya Sekta ya Afya nchini- Dk. Ngaiza

Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wapatao 64 wa Mama Samia walioanza kambi mkoani Mtwara wametakiwa kuwa chachu ya huduma bora za afya kwa siku zote tano watakazoweka kambi mkoani humo. Madaktari bingwa na Bingwa Bobezi wapatao  64 wa Mama  Samia walioanza kambi mkoani humo wametakiwa kuwa chachu ya huduma bora za afya kwa siku zote

Uwekezaji wa Serikali ulete matokeo chanya Sekta ya Afya nchini- Dk. Ngaiza Read More »

“Maandalizi ya ujauzito huepusha mgongo wazi, vichwa vikubwa”

MKURUGENZI wa Huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya, Dk. Ahmad Makuwani, amesema katika dunia iliyokua katika teknolojia ya tiba na uchunguzi wa mapema ni muhimu. Amesema, ni vyema wanawake wanaotarajia kupata watoto kubadaili mtazamo kwa kutobeba mimba bila kufanya uchunguzi na maandalizi kwa kutumia vidonge vya madini chuma. Makuwani

“Maandalizi ya ujauzito huepusha mgongo wazi, vichwa vikubwa” Read More »

Serikali yapongezwa kujenga maabara ya kupima mionzi visiwani Zanzibar

Bunge limeipongeza serikali kwa kujenga ofisi na maabara ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), mionzi visiwani Zanzibarjambo litakalosaidia upimaji wa sampuli na kusaidia watafiti kuitumia maabara hiyo. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Husna Sekiboko, ametoa pongezi hizo leo wakati wa ziara ya kamati yake ilipotembelea ofisi

Serikali yapongezwa kujenga maabara ya kupima mionzi visiwani Zanzibar Read More »