Dkt. Frank Masao asema wanaohisi wanyonge kijamii rahisi kujitoa uhai
WATU wenye wasiwasi, wanaojitenga, waraibu wa vilevi na wanaojihisi wanyonge katika jamii kama vile wakimbizi ni miongoni mwa wanaotajwa kuwa hatarini katika kutoa uhai. Bingwa Mshauri Mwandamizi wa Magonjwa ya Afya ya Akili kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)-Mloganzila, Dk. Frank Masao, aliyasema hayo Septemba 10, mwaka huu, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uzuiaji […]
Dkt. Frank Masao asema wanaohisi wanyonge kijamii rahisi kujitoa uhai Read More »