JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeendelea kushangaza mataifa mbalimbali kwa umahiri wake wa matibabu ya kibingwa ya moyo ambao safari hii imeadhimisha siku ya moyo duniani kwa kufanya upasuaji wa moyo kwa wagonjwa 30 Zambia. Wiki moja kabla ya siku ya moyo duniani JKCI ilipeleka madaktari bingwa wanne wa moyo kwenda kufanya upasuaji […]
JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo Read More »