Afya

JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeendelea kushangaza mataifa mbalimbali kwa umahiri wake wa matibabu ya kibingwa ya moyo ambao safari hii imeadhimisha siku ya moyo duniani kwa kufanya upasuaji wa moyo kwa wagonjwa 30 Zambia. Wiki moja kabla ya siku ya moyo duniani JKCI ilipeleka madaktari bingwa wanne wa moyo kwenda kufanya upasuaji […]

JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo Read More »

Dk. Kisenge: Ulaji wanga saa chache kabla ya kulala usiku hatari

ULAJI wa vyakula vyenye wanga hasa saa chache kabla ya mtu kwenda kulala, kunatajwa kuwa hatari kwa afya, hususan Magonjwa Yasiyoambukiza (NCDs), ukiwamo ugonjwa wa moyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Peter Kisenge, ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Moyo Duniani. Siku

Dk. Kisenge: Ulaji wanga saa chache kabla ya kulala usiku hatari Read More »

JKCI lulu utalii tiba Afrika,  madaktari wake waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo

Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya afya umeendelea kuipaisha Tanzania ambapo sasa madakati bingwa wanne wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI wako nchini Zambia wakiendelea kufanya upasuaji wa moyo. Timu hiyo ya madakari hao itashirikiana na wenzao wa Hospitali ya Taifa ya Moyo ya Zambia na watafanyakazi upasuaji

JKCI lulu utalii tiba Afrika,  madaktari wake waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo Read More »

Arejeshewa tabasamu baada ya upasuaji kuondolewa uvimbe wa kilo tano uliomtesa miaka 25

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imefafanua saa nne za upasuaji mkubwa aliofanyiwa Kalume Ally Kalume, kumuondoa kilo tano za uvimbe mwilini, ambaye tatizo lake limebainika ni la kuzaliwa nalo. Kadhalika, Kalume ambaye alilazwa hospitalini hapo kwa takribani siku 23, anasubiri kufanyiwa  upasuaji wa pili katika hospitali hiyo, sehemu ya mguuni ambako pia kuna uvimbe. Kalume,

Arejeshewa tabasamu baada ya upasuaji kuondolewa uvimbe wa kilo tano uliomtesa miaka 25 Read More »

Atolewa uvimbe kwenye kizazi wenye gramu 800, ulimtesa kwa miaka 10

Madaktari Bingwa wa Samia Suluhu Hassan wamefanikiwa kumtoa uvimbe kwenye kizazi wenye uzito wa gramu 800 mwanamke mwenye miaka 49 jina limeifadhiwa alioishi nao kwa zaidi ya miaka 10. Hayo yamebainishwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Dk. Emmanuel Ngadaya kutoka Hospitali Rufaa ya Kanda ya Kusini aliyeongoza jopo la Madaktari Bingwa

Atolewa uvimbe kwenye kizazi wenye gramu 800, ulimtesa kwa miaka 10 Read More »

Wananchi Tandahimba wafunguka kuwasogezea huduma za kibingwa

Wananchi wa mkoani Mtwara wilaya ya Tandahimba wamshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwasogezea Huduma za kibingwa na Bingwa Bobezi karibu na kuwawezesha kutosafiri umbali mrefu kufuata Huduma. Shukrani hizo zimetolewa leo na baadhi ya Wananchi walio jitokeza kupata Huduma kwa madaktari bingwa wa Rais Samia

Wananchi Tandahimba wafunguka kuwasogezea huduma za kibingwa Read More »

Uwekezaji wa Serikali ulete matokeo chanya Sekta ya Afya nchini- Dk. Ngaiza

Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wapatao 64 wa Mama Samia walioanza kambi mkoani Mtwara wametakiwa kuwa chachu ya huduma bora za afya kwa siku zote tano watakazoweka kambi mkoani humo. Madaktari bingwa na Bingwa Bobezi wapatao  64 wa Mama  Samia walioanza kambi mkoani humo wametakiwa kuwa chachu ya huduma bora za afya kwa siku zote

Uwekezaji wa Serikali ulete matokeo chanya Sekta ya Afya nchini- Dk. Ngaiza Read More »

“Maandalizi ya ujauzito huepusha mgongo wazi, vichwa vikubwa”

MKURUGENZI wa Huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya, Dk. Ahmad Makuwani, amesema katika dunia iliyokua katika teknolojia ya tiba na uchunguzi wa mapema ni muhimu. Amesema, ni vyema wanawake wanaotarajia kupata watoto kubadaili mtazamo kwa kutobeba mimba bila kufanya uchunguzi na maandalizi kwa kutumia vidonge vya madini chuma. Makuwani

“Maandalizi ya ujauzito huepusha mgongo wazi, vichwa vikubwa” Read More »