Raia wa China aliyejifungua mapacha Hospitali ya Regency ashukuru huduma nzuri
RAIA wa China, Liya Zhang (31), ambaye amejifungua watoto mapacha watatu wa kiume katika hospitali ya Regency ya jijini Dar es Salaam ameshukuru kwa huduma nzuri alizopata. Raia huyo alijifungua watoto hao siku ya Jumapili usiku hospitalini hapo na mpaka sasa anaendelea vizuri yeye na watoto wake hao watatu. Akizungumza hospitalini hapo, Liya alisema awali […]
Raia wa China aliyejifungua mapacha Hospitali ya Regency ashukuru huduma nzuri Read More »