Afya

Raia wa China aliyejifungua mapacha Hospitali ya Regency ashukuru huduma nzuri

RAIA wa China, Liya Zhang (31), ambaye amejifungua watoto mapacha watatu wa kiume katika hospitali ya Regency ya jijini Dar es Salaam ameshukuru kwa huduma nzuri alizopata. Raia huyo alijifungua watoto hao siku ya Jumapili usiku hospitalini hapo na mpaka sasa anaendelea vizuri yeye na watoto wake hao watatu. Akizungumza hospitalini hapo, Liya alisema awali […]

Raia wa China aliyejifungua mapacha Hospitali ya Regency ashukuru huduma nzuri Read More »

Wizara ya Afya hatua za kudhibiti Mpox

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kujidhatiti katika kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Mpox kwa kutoa vielelezo vyenye jumbe zenye maudhui mbalimbali ya uelimishaji kuhusu ugonjwa huo katika mipaka mbalimbali ya nchi na viwanja vya ndege. Hatua hiyo imeanza kuchukuliwa ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo aliyotoa Waziri wa Afya Jenista Mhagama alipotembelea

Wizara ya Afya hatua za kudhibiti Mpox Read More »