Admin



Dkt. Biteko aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Kiwanda cha Nguzo za Zege 📌Awataka wananchi Tabora kutogawanyika wakati Uchaguzi Mkuu 📌Asema maono ya Rais Samia ni viongozi kuwasaidia wananchi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa […]

 Read More »

Transforming Future: NMB Bank and UDOM partner to propel Technological innovation in Tanzania

By our Correspondent NMB Bank and the University of Dodoma (UDOM) have signed a Memorandum of Understanding (MoU) to collaborate in enhancing technological and ICT capabilities, with a mutual aim of fostering innovation. This agreement seeks to bolster the technological expertise of Tanzanians while also driving significant digital transformations in the financial sector. The signing

Transforming Future: NMB Bank and UDOM partner to propel Technological innovation in Tanzania Read More »

Benki ya Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti mwaka 2025

Benki ya Exim Tanzania imeanza mwaka kwa mafanikio makubwa, baada ya kuhitimisha robo ya kwanza ya mwaka 2025 kwa matokeo chanya yanayoonesha kasi ya ukuaji, ufanisi wa utendaji na jitihada madhubuti zinazolenga ubunifu na ujumuishaji wa huduma za kifedha kwa wote. Kwa kipindi kilichoishia Machi 2025, benki ya Exim imetoa takwimu thabiti za kifedha ambazo

Benki ya Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti mwaka 2025 Read More »

Watesi wa Padri Kitima hawa hapa

Ilisemwa damu ya mtu haimwagiki bure, hata kabla jogoo hajawika, tayari waliohusika na kuvamiwa na kupigwa kwa Katibu Wa Baraza la Maaskofu (TEC) Padri Charles Kitima, wameanza kujitanabahisha na kuthibitisha nia yao ovu dhidi ya mama Tanzania. Kundi hilo lililolenga kuzua taharuki kubwa nchini, halikuridhishwa na taarifa fupi iliyotolewa jana na Baraza la Maaskofu kuhusu

Watesi wa Padri Kitima hawa hapa Read More »

Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi, Njombe

Na Happiness Shayo, Ludewa Wafanyakazi wilayani Ludewa, mkoani Njombe, wamepokea kwa shangwe na furaha nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika maadhimisho Siku ya Wafanyakazi Duniani wilayani humo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Balozi Pindi Chana, amesema Rais Samia

Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi, Njombe Read More »

NMB yadhamini na kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa Singida

Benki ya NMB imedhihirisha tena nafasi yake kama Mwajiri Kinara nchini kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa mkoani Singida. Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali nchini, yakiwemo mashirika ya umma na binafsi, taasisi na vyama vya wafanyakazi, yakilenga kuenzi mchango wa

NMB yadhamini na kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa Singida Read More »

Rais Samia aongeza mishahara wa Wafanyakazi kwa asilimia 35.1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali itaongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1. Rais Dkt. Samia amesema kuwa Nyongeza hii itaanza kutumika Mwezi Julai 2025, itaongeza kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 370,000 hadi shilingi 500,000. Akizungumza Katika Kilele

Rais Samia aongeza mishahara wa Wafanyakazi kwa asilimia 35.1 Read More »