Serikali yazindua Mpango wa Kitaifa Kuimarisha Haki na Usalama wa Wanawake
📌 Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa wanapata haki na heshima wnayostahili 📌Azindua Mpango kazi wa Kitaifa wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama 📌 Unalenga kushirikisha wanawake kikamilifu katika masuala ya Amani na Usalama 📌 Ataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutokomeza dalili zinazoweza kuleta uvunjifu wa amani na usalama katika jamii 📌 Asema kuzinduliwa […]
Serikali yazindua Mpango wa Kitaifa Kuimarisha Haki na Usalama wa Wanawake Read More »