Dkt. Biteko aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Kiwanda cha Nguzo za Zege 📌Awataka wananchi Tabora kutogawanyika wakati Uchaguzi Mkuu 📌Asema maono ya Rais Samia ni viongozi kuwasaidia wananchi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa […]