Rais Samia ahutubia mkutano wa 9 wa FOCAC
RAIS Samia Suluhu Hassan amehutubia mkutano wa tisa wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing. Katika hotuba yake, aliyoisoma leo amesisitiza kujitolea kwa Tanzania kuimarisha ushirikiano wake na China, hasa katika miundombinu na maendeleo ya kiuchumi. Jambo kuu lililozungumziwa ni kufufua mradi wa reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ambao […]
Rais Samia ahutubia mkutano wa 9 wa FOCAC Read More »