Admin

Maonyesho ya kimataifa ya viwanda kukutanisha waonyeshaji 500 Dar

SHIRIKISHO la Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), wameandaa maonesho ya kimataifa ya wenye viwanda (TIMEXPO 2024) yatakayoshirikisha viwanda 500. Mkurugenzi Mkuu wa CTI, Mhandisi Leodegar Tenga amewaambia waandishi wa habari leo kuwa maonyesho hayo yatafanyika kuanzia Septemba 26 hadi Oktoba 2, katika Viwanja vya Saba Saba jijini […]

Maonyesho ya kimataifa ya viwanda kukutanisha waonyeshaji 500 Dar Read More »

Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya madini ndani ya nchi

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema Tanzania inakaribisha wawekezaji wote wa madini mkakati na kuweka msisitizo kwamba uongezaji thamani wa madini hayo mkakati lazima ufanyike Tanzania. Mavunde ameyasema hayo leo Bali,Indonesia wakati wa majadiliano juu ya manufaa ya Madini Mkakati katika kukuza uchumi wa nchi wazalishaji ikiwa ni sehemu ya mkutano wa jukwaa la INDONESIA

Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya madini ndani ya nchi Read More »

Wazazi waduwazwa na vipaji vya wanafunzi St Anne Marie Academy

UMAHIRI ulionyeshwa na wanafunzi wa shule ya sekondari ya St Anne Marie Academy kwenye kuzungumza lugha mbalimbali kumewashangaza wazazi walihudhuria mahafali ya shule hiyo mwishoni mwa wiki. Wanafunzi hao walionyesha vipaji vyao jana Jumamosi  kwenye mahafali ya 20 ya shule ya sekondari shuleni hapo Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam. Wanafunzi hao walionyesha

Wazazi waduwazwa na vipaji vya wanafunzi St Anne Marie Academy Read More »

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imeshiriki katika kikao kazi cha uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Maendeleo ya Filamu na Sanaa Tanzania linalotarajiwa kufanyika mwezi wa Desemba mwaka huu. Tamasha hilo limeratibiwa na taasisi ya FAGDI (Foundation Ambassadors Gender Development Initiatives) ikishirikiana na Bodi ya Filamu Tanzania. Tamasha hilo linawakutanisha wadau wa filamu na sanaa

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini Read More »

“Miradi ya nishati kunufaisha wananchi wanaoizunguka”-Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema wananchi wanaoishi katika maeneo ambayo yana miradi mikubwa ya nishati watanufaika na miradi hiyo kupitia upatikanaji wa huduma mbalimbali. Mhe. Kapinga amesema hayo  Agosti 30, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Ally Kasinge Mbunge wa Kilwa Kusini ambaye alitaka kufahamu mkakati wa Serikali katika kuhakikisha Kisiwa

“Miradi ya nishati kunufaisha wananchi wanaoizunguka”-Kapinga Read More »

Jeshi la Polisi lashtukia njama za CHADEMA kuvamia vituo vya polisi

JESHI la Polisi Tanzania limeshtukia mipango ovu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kufanya vikao vya kujaribu kuhamasisha vurugu, likisema wote wanaotaka kufanya uharamia huo watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania David Misime, amesema hayo leo ikiwa ni mwendelezo wa kutoa elimu kwa Watanzania wakiwemo wanasiasa juu ya

Jeshi la Polisi lashtukia njama za CHADEMA kuvamia vituo vya polisi Read More »

Benki ya NMB Yaingia Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati na K-FINCO ya Korea Kusini

Benki ya NMB leo imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ya kushirikiana na Shirika la Korea Kusini linalojihusisha na kudhamini miradi katika sekta ya ujenzi la Korea Finance for Construction (K-FINCO). Lengo la makubaliano hayo ni kusaidia kuwawezesha wakandarasi wa Korea Kusini kushiriki kikamilifu katika miradi ya ujenzi nchini Tanzania ambapo NMB itaiwakilisha K-FINCO kwa kutoa

Benki ya NMB Yaingia Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati na K-FINCO ya Korea Kusini Read More »