Serikali inaendelea na majadiliano na kampuni za nishati za kimataifa – Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati,Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa (International Energy Companies – IEC’s) kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi asilia kuwa Kimiminika – LNG na yakikamilika Serikali itaupeleka kwenye hatua inayofuata. Kapinga amesema hayo leo Agosti 29, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa […]
Serikali inaendelea na majadiliano na kampuni za nishati za kimataifa – Kapinga Read More »