Admin

Serikali inaendelea na majadiliano na kampuni za nishati za kimataifa – Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati,Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa (International Energy Companies – IEC’s) kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi asilia kuwa Kimiminika – LNG na yakikamilika Serikali itaupeleka kwenye hatua inayofuata. Kapinga amesema hayo leo Agosti 29, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa […]

Serikali inaendelea na majadiliano na kampuni za nishati za kimataifa – Kapinga Read More »

Ulega: Rais Samia kuongoza Mkutano wa Mawaziri zaidi ya 70 Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwaongoza Mawaziri zaidi ya 70 kutoka mataifa wanachama wa Umoja wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kujadili masuala mbalimbali ya uchumi wa buluu ili kuweka mkakati wa pamoja kuimarisha sekta ya uvuvi. Hayo yamebainishwa leo Agosti 29, 2024 na Waziri wa Mifugo na

Ulega: Rais Samia kuongoza Mkutano wa Mawaziri zaidi ya 70 Tanzania Read More »

Dk. Biteko: Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme

Tanzania imeeleza mpango na utayari wake katika uendelezaji wa nishati ya nyuklia ikiwa ni moja ya vyanzo mbadala vya nishati safi ya umeme kwa maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa jamii. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko wakati akiwasilisha Mpango wa Tanzania katika Mkutano wa Pili wa

Dk. Biteko: Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme Read More »

NBC yasisitiza kuchochea ukuaji biashara, uchumi wa buluu Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeelezea dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wafanyabishara wadogo, wa kati na wakubwa kupitia huduma zake mbalimbali za kibenki ili kuchochea ukuaji wa uchumi na mchango wa wadau hao katika kufanikisha agenda ya Uchumi wa Buluu na uwezeshaji wa maendeleo visiwani Zanzibar. Dhamira hiyo imesisitizwa na Meneja wa benki

NBC yasisitiza kuchochea ukuaji biashara, uchumi wa buluu Zanzibar Read More »

Wazazi, walezi wakumbushwa malezi, “msiwaachie walimu pekee”

OFISA Elimu Msingi Kata ya Mikocheni, Elizabeth Lulagora amesema wazazi na walezi, wasiuache mzigo wa ulezi kwa walimu pekee, kwa madai kwamba wapo ‘bize’ kutafuta fedha za mahitaji ya familia. Lulagora, akimwakilisha Ofisa Elimu Msingi wa Manispaa ya Kinondoni, aliyasema hayo hivi karibuni kwenye mahafali ya 18 kwa wahitimu watarajiwa wa darasa la saba katika

Wazazi, walezi wakumbushwa malezi, “msiwaachie walimu pekee” Read More »

OSHA yakumbushia umuhimu wa usalama na afya kazini kwa waajiri, wafanyakazi

WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeelezea umuhimu wa kulinda uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika rasilimali watu kuanzia wanapozaliwa hadi kufikia hatua ya kuajiriwa au kujiajiri katika shughuli mbalimbali za kiuchumi. Umuhimu huo umeelezwa Jana Jijini Arusha na Mtendaji Mkuu wa OSHA,Khadija Mwenda, alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu masuala ya Usalama na

OSHA yakumbushia umuhimu wa usalama na afya kazini kwa waajiri, wafanyakazi Read More »

PSSSF yatoa huduma kwenye kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma AICC-Arusha

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umeweka kambi kwenye viwanja vya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ili kutoa huduma kwa wajumbe wa Kikao Kazi cha Wenyeviti na Wakuu wa Taasisi za Umma kilichofunguliwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 28, 2024. Kwa mujibu wa Meneja wa

PSSSF yatoa huduma kwenye kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma AICC-Arusha Read More »

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaipongeza NSSF kwa mafanikio katika utendaji

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Mwanaasha Khamis Juma wameupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa mafanikio makubwa uliyopata katika utekelezaji wa majukumu yake ya msingi ambayo ni kuandikisha wanachama, kukusanya michango, kuwekeza na kulipa mafao. Mwanaasha ametoa pongezi hizo wakati walipofanya ziara ya kikazi

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaipongeza NSSF kwa mafanikio katika utendaji Read More »