Admin

Shule ya Sekondari Hasnuu Makame yaitikia agizo la matumizi ya Nishati safi ya kupikia

Moja ya maagizo ya Serikali kuelekea katika safari matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia nchini ni taasisi zikiwemo shule kuachana na matumizi ya nishati zisizo safi na salama kama kuni na mkaa wa asili na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi. Shule ya Sekondari ya Hasnuu Makame, iliyopo Mkoa wa Kusini Unguja Visiwani […]

Shule ya Sekondari Hasnuu Makame yaitikia agizo la matumizi ya Nishati safi ya kupikia Read More »

REA yawapa tuzo wakandarasi waliofanya vizuri miradi ya Peri Urban III

Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewapa tuzo na vyeti maalum Wakandarasi waliofanya vizuri kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme maeneo ya Pembezoni mwa Miji Awamu ya Tatu (Peri Urban III) kote nchini ndani ya muda uliopangwa na kwa ubora unatakiwa. Awali, Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi, Hassan, Saidy alisema utendaji madhubuti (Performance) na kukamilisha Miradi ya

REA yawapa tuzo wakandarasi waliofanya vizuri miradi ya Peri Urban III Read More »

Uwepo wa TAWA waongeza hadhi ya Tamasha la Kizimkazi – Kikeke

Mtangazaji nguli, na mwandishi wa habari mashuhuri Africa Mashariki na Kati aliyekuwa akitangaza kipindi cha Dira ya Dunia katika Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) ambaye kwasasa anafanya kazi na Redio/TV ya Crown FM/TV iliyopo nchini, Salim Kikeke amesema uwepo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini – TAWA katika Tamasha la Kizimkazi umekuwa chachu

Uwepo wa TAWA waongeza hadhi ya Tamasha la Kizimkazi – Kikeke Read More »

Uongezaji thamani madini ni kipaumbele cha Serikali – Dk.Kiruswa

Naibu Waziri wa Madini, Dk. Kiruswa, amesema Uongezaji Thamani Madini ni moja ya vipaumbele vikuu vya Wizara, ambapo msukumo mkubwa umewekwa kupitia Sera ya Madini ya Mwaka 2009 na kuongeza kwamba, Sheria ya Madini inaelekeza kuhakikisha kuwa madini yanaongezwa thamani ndani ya nchi ili kuongeza manufaa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Dk. Kiruswa  ameyasema

Uongezaji thamani madini ni kipaumbele cha Serikali – Dk.Kiruswa Read More »

Wizara ya Afya hatua za kudhibiti Mpox

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kujidhatiti katika kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Mpox kwa kutoa vielelezo vyenye jumbe zenye maudhui mbalimbali ya uelimishaji kuhusu ugonjwa huo katika mipaka mbalimbali ya nchi na viwanja vya ndege. Hatua hiyo imeanza kuchukuliwa ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo aliyotoa Waziri wa Afya Jenista Mhagama alipotembelea

Wizara ya Afya hatua za kudhibiti Mpox Read More »

Singida BS yajifungia Dar

KIKOSI cha Singida Black Stars kimeweka kambi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazoezi kwenye viwanja vya nyasi bandia kabla ya kuivaa Kagera Sugar, Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Kaitaba ulioko Bukoba, mkoani Kagera. Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hussein Massanza, amesema jana wamewasili Dar kwa lengo la kuweka mikakakati ya kuhakikisha wanapata

Singida BS yajifungia Dar Read More »

Mingange kuinoa Stand United FC

ALIYEKUWA kocha wa Ndanda FC na Mashujaa, Meja Mstaafu Abdul Mingange, ametua katika timu ya Stand United ya Shinyanga ambayo itashiriki Ligi ya Championship msimu mpya. Taarifa iliyotolewa na Stand United, inasema wamempa Mingange mkataba wa mwaka mmoja na wanaamini anauwezo wa kusaidia kuipandisha daraja timu hiyo iliyoteremka msimu wa 2018/19. “Mingange ndiyo kocha wetu

Mingange kuinoa Stand United FC Read More »

Simba Queens, PVB Buyenzi kuvaana

KIKOSI cha Simba Queens kinatarajia kukutana na PVB Buyenzi kutoka Burundi katika mechi ya mwisho ya Kundi B ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), itakayochezwa leo kwenye Uwanja wa Abebe Bikila jijini Addis Ababa, Ethiopia. Tayari Simba Queens ambayo ni vinara wa Kundi B wameshatinga hatua ya nusu fainali ya michuano

Simba Queens, PVB Buyenzi kuvaana Read More »