Mkaguzi kata aguswa na changamoto ya wananchi, atoa viti Mwendo Kisangura
Mkaguzi Kata ya Kisangura Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi A/Insp Genuine Kimario ameendelea kuyafikia makundi mbalimbali katika kata yake ambapo ametoa viti mwendo kwa Mzee Benjamini Imori miaka 80 Mkazi wa kata hiyo na Mariam Wankuru. Mkaguzi Kimario amefikia hatua hiyo baada ya kumuona mzee huyo katika kata hiyo akiwa na changamoto ya […]
Mkaguzi kata aguswa na changamoto ya wananchi, atoa viti Mwendo Kisangura Read More »