Admin

Mkaguzi kata aguswa na changamoto ya wananchi, atoa viti Mwendo Kisangura

Mkaguzi Kata ya Kisangura Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi A/Insp Genuine Kimario ameendelea kuyafikia makundi mbalimbali katika kata yake ambapo ametoa viti mwendo kwa Mzee Benjamini Imori miaka 80 Mkazi wa kata hiyo na Mariam Wankuru. Mkaguzi Kimario amefikia hatua hiyo baada ya kumuona mzee huyo katika kata hiyo akiwa na changamoto ya […]

Mkaguzi kata aguswa na changamoto ya wananchi, atoa viti Mwendo Kisangura Read More »

ACT Wazalendo kujipanga kuelekea uchaguzi za serikali za mitaa

Chama cha ACT Wazalendo kinatarajiwa kufanya kikao cha Halmashauri Kuu tarehe 25 Agosti 2024 kitachojikita katika kujipanga kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kikao hicho kitatanguliwa na kikao cha Kamati Kuu kitachokutana tarehe 24 Agosti 2024. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo, vikao vyote hivyo vitafanyika katika

ACT Wazalendo kujipanga kuelekea uchaguzi za serikali za mitaa Read More »

Dk. Mpango aielekeza Wizara ya Madini kusimamia madini kumkakati kwa manufaa ya Watanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Madini kuhakisha inasimamia vyema uvunaji wa madini ya kimkakati ili nchi iweze kunufaika nayo. Dk. Mpango ameyasema hayo leo Agosti 22, 2024 Katika eneo La Mpwayungu,Wilaya ya Chamwino-Dodoma wakati akihitimisha ziara ya siku nne ya Mkoa wa Dodoma. Amesema, Mwenyezi

Dk. Mpango aielekeza Wizara ya Madini kusimamia madini kumkakati kwa manufaa ya Watanzania Read More »

Kamati ya Bunge yaipa kongole Wizara ya Maji ubunifu hatifungani ya Tanga UWASA

Kamati ya Kudumu ya Bunge Maji na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wake Jackson Kiswaga Mbunge wa Jimbo la Kalenga Leo Agosti 22,2024 imeendesha kikao chake na kutoa pongezi kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Mejenimenti ya Wizara ya Maji kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (TANGA UWASA) kwa kufanikisha ubunifu na

Kamati ya Bunge yaipa kongole Wizara ya Maji ubunifu hatifungani ya Tanga UWASA Read More »

Wizara ya Nishati yashiriki Tamasha la Kizimkazi Zanzibar

Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake zimeshiriki katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) yanayoendelea kwenye kijiji cha kizimkazi wilaya ya Kusini mkoa wa Kusini Kisiwani Zanzibar. Katika tamasha hilo la Kizimkazi Wizara na taasisi zinatoa elimu ya utekelezaji wa Sera ya Nishati ya mwaka 2015 pamoja na kutoa huduma kwa wananchi hususani katila utekelezaji

Wizara ya Nishati yashiriki Tamasha la Kizimkazi Zanzibar Read More »

Timu za Tanzania zaendelea kugawa dozi michuano FEASSSA 2024

TIMU za Tanzania zinazoshiriki michuano ya Shule za Msingi na Sekondari ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSSA) zimeendelea kung’ara kwa kugawa dozi kwa timu pinzani katika michezo mbalimbali inayofanyika Mji wa Mbale nchini Uganda. Michuano hiyo inayofanyika viwanja vya Shule ya Sekondari Bukedea Mjini humo, Agosti 21, 2024, Timu ya Soka ya wasichana

Timu za Tanzania zaendelea kugawa dozi michuano FEASSSA 2024 Read More »

Vijiji vitano vyalipwa bilioni 2 za mrabaha kutokana na uzalishaji dhahabu Nyamongo-Tarime

Waziri wa Madini,Anthony Mavunde ataka fedha zinazotolewa kama sehemu ya gawio la mrabaha kutoka katika mgodi zitumike katika miradi iliyoibuliwa na wananchi katika sehemu husika kwa ajili ya kuendeleza mipango ya maendeleo kwa wananchi. Hayo yamebainishwa leo Agosti 20, 2024 na Waziri wa Madini Anthony Mavunde wilayani Tarime mkoani Mara wakati wa hafla fupi ya

Vijiji vitano vyalipwa bilioni 2 za mrabaha kutokana na uzalishaji dhahabu Nyamongo-Tarime Read More »