Admin

Wizara ya Madini kuibuka na miradi mikubwa ya kimkakati

Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Kampuni mbalimbali za uchimbaji na uchakataji madini inatarajia kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati itakayohusisha mnyororo mzima katika Sekta ya Madini. Hayo yamebainishwa Agosti 13, 2024 jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Mhandisi Ramadhan Lwamo wakati akiwasilisha taarifa kuhusu hali ya ulipaji wa fidia kwa wananchi […]

Wizara ya Madini kuibuka na miradi mikubwa ya kimkakati Read More »