Admin

Historia nyingine yaandikwa Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)

📌Dkt.Biteko azindua mradi wa usafirishaji umeme (kV 400) Chalinze-Dodoma  na upanuzi wa vituo vya umeme Chalinze na Zuzu 📌Kuwezesha umeme kutoka JNHPP kufika Kanda mbalimbali za Tanzania, Migodi ,Viwanda, Kusini na Mashariki mwa Afrika 📌Asema Tanzania inaongoza Afrika kwa Usambazaji wa umeme kwa wananchi 📌Apaza sauti kwa wahujumu wa miundiombinu ya umeme; ataka hatua kali […]

Historia nyingine yaandikwa Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) Read More »

EWURA yawaita wadau Kigoma kuwekeza vituo vya mafuta vijijini

Meneja EWURA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Walter Christopher, amewataka wadau wa masuala ya uuzaji wa mafuta kutumia fursa ya kuwekeza katika maeneo ya vijijini ambako kuna uhaba mkubwa wa vituo vya mafuta. Mhandisi Christopher ametoa wito huo kwenye mafunzo kwa wadau wa mafuta Wilayani Kasulu – Kigoma. Naye, Mwenyekiti wa wauzaji wa mafuta wa Wilaya

EWURA yawaita wadau Kigoma kuwekeza vituo vya mafuta vijijini Read More »

Bodi ya EWURA yaridhishwa na uendelezaji wa miradi ya umeme wa Jotoardhi

Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imeonesha kuridhishwa na hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa miradi ya kuzalisha umeme wa jotoardhi kwenye maeneo ya Ngozi (MW 70) na Kyejo-Mbaka (MW 60) mkoani Mbeya. Ziara hiyo, inayoongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Prof. Mark Mwandosya imelenga kuona hatua iliyofikiwa katika uendelezaji

Bodi ya EWURA yaridhishwa na uendelezaji wa miradi ya umeme wa Jotoardhi Read More »

TANESCO tunathamini wadau wa maendeleo kuimarisha sekta ya nishati – Mha. Nyamo-Hanga

📌 Asema Serikali inaangalia njia bora ya kushirikisha Sekta Binafsi katika Ujenzi na Mifumo ya usafirishaji umeme 📌 Aeleza faida za Tanzania kufanya biashara katika soko la EAPP na SAPP Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania  (TANESCO), Mha. Gissima Nyamo-Hanga amesema kuwa TANESCO inathamini michango inayotolewa na wadau wa maendeleo katika kuimarisha sekta ya

TANESCO tunathamini wadau wa maendeleo kuimarisha sekta ya nishati – Mha. Nyamo-Hanga Read More »

Tutumie Nishati Safi Ya Kupikia Kuokoa Barafu Katika Mlima Kilimanjaro

Wakala wa Nishati Vijijiji (REA) umeendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kutunza uoto wa asili nchini pamoja na kulinda barafu katika Mlima Kilimanjaro. Rai hiyo imetolewa leo Disemba 10 na Afisa kutoka REA, Praygod Ng’unda mara baada ya kushuka kutoka Kilele cha Uhuru katika Mlima Kilimanjaro akiwa ameambatana na Afisa Rasilimali Watu

Tutumie Nishati Safi Ya Kupikia Kuokoa Barafu Katika Mlima Kilimanjaro Read More »

Samia: Mabalozi wa kisiasa watatuunga mkono kwenye kampeni za uchaguzi

“Manaibu Makatibu Wakuu na nyinyi kwa sababu tunakwenda kuimarisha hasa upande wa mabalozi wa kisiasa. Na mabalozi wengi wa upande wa kisiasa, kwenye ubalozi kuna aina mbili professional na wa kwangu wanaoniwakilisha huko. Tunawarudisha ili ili waje watuunge mkono kwenye kampeni za Uchaguzi huku,”Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.

Samia: Mabalozi wa kisiasa watatuunga mkono kwenye kampeni za uchaguzi Read More »

Mbowe: Kusema Chadema hatukuwa na maandalizi ya uchaguzi ni mitazamo yetu wanasiasa

“Kauli za ndani kwamba hakuna maandalizi, sikilizeni Jamani acheni kudakia vitu vidogo vidogo yaani vile vya uchimvi uchimvi. Inawezekana kila mmoja ana mtazamo tofauti, hiki ni Chama cha Siasa kuna watu wenye mitazamo tofauti lakini kuna maeneo tunakubaliana na kuna maeneo tunaweza tukabishana, na huo ndiyo ubinadamu wenyewe” Feeman Mbowe-Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Mbowe: Kusema Chadema hatukuwa na maandalizi ya uchaguzi ni mitazamo yetu wanasiasa Read More »

Mbowe mivutano kwenye mazungumzo ya kisiasa ni jambo lisilokwepeka

“Kila siku mnazungumza mnadanganywa, ni hivi mazungumzo katika mambo ya Kijamii upende usipende ni future ya lazima. Niwape mfano kule mashariki ya kati Israel wanapigana na Palestina na kwingineko na mamia ya watu wanauwawa lakini ni wangapi mnajua vita inapoendelea kule nchini QATAR-DOHA kuna mazungumzo ya kutafuta amani yanaendelea?” Feeman Mbowe-Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Mbowe mivutano kwenye mazungumzo ya kisiasa ni jambo lisilokwepeka Read More »

Verified by MonsterInsights