Historia nyingine yaandikwa Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)
📌Dkt.Biteko azindua mradi wa usafirishaji umeme (kV 400) Chalinze-Dodoma na upanuzi wa vituo vya umeme Chalinze na Zuzu 📌Kuwezesha umeme kutoka JNHPP kufika Kanda mbalimbali za Tanzania, Migodi ,Viwanda, Kusini na Mashariki mwa Afrika 📌Asema Tanzania inaongoza Afrika kwa Usambazaji wa umeme kwa wananchi 📌Apaza sauti kwa wahujumu wa miundiombinu ya umeme; ataka hatua kali […]
Historia nyingine yaandikwa Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) Read More »