Msigwa aanika hoja za upotoshaji za Chadema
Msigwa aanika hoja za upotoshaji za Chadema Read More »
The highly anticipated Bata la Disemba carnival, held from December 6–8, 2024, at the Leaders Club Grounds, has successfully concluded with an unforgettable celebration of music, culture, and community. The event organised by Heineken Beverages International in partnership with the city of Dar es Salaam brought together over 5,000 attendees for three days of electrifying
CHUO cha Uhasibu Arusha (IAA), kimetangaza mpango wa kufungua kampasi mpya nje ya nchi, moja katika Visiwa vya Comoro na nyingine Sudan Kusini , kufuatia mahitaji makubwa ya elimu ya juu na fursa za maendeleo katika maeneo hayo. Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Eliamani Sedoyeka, ameeleza mpango huo, wakati wa kikao na wahariri wa vyombo
IAA kuzindua kampasi mpya mbili kimataifa Read More »
Kutoka kuwa mkulima mdogo anayelima kipande cha ekari moja na nusu, Nana Pissa sasa ni mama mwenye furaha ambaye ameshuhudia watoto wake wote sita wakisoma shule za chaguo lake wakifaulu hadi kufikia ngazi ya chuo kikuu. Nana anakumbuka, wakati wa wimbi la umaskini mwaka 2016, jinsi alivyochaguliwa katika mpango wa kilimo wa Serengeti Breweries Limited
Kodi kubwa kwa wazalishaji wadogo wa bia kuhatarisha maendeleo ya wakulima Read More »
Naibu Waziri wa Kilimo,David Silinde ameiagiza Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC ) kuharakisha usambazaji wa mbolea ya ruzuku kwa wakulima wote nchini kwani tayari msimu wa kilimo umeanza. Akizungumza mara baada ya kutembelea ghala la kuhifadhi mbolea lililopo eneo la Chuo cha Magereza, Ukonga, jijini Dar es Salaam jana Desemba 09, 2024, Silinde amesema ameridhishwa
Silinde aitaka TFC kuharakisha usambazaji wa mbolea ya ruzuku Read More »
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge, ameonyesha kuridhishwa na jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali mkoani humo ikiwemo Kampuni ya Taifa Gas katika kufanikisha kampeni ya mabadiliko kuelekea matumizi ya nishati safi ya kupikia miongoni mwa makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo taasisi za elimu na wafanyabiashara wa vyakula. Akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya
RC Kunenge aipongeza Taifa Gas jitihada matumizi nishati safi Pwani Read More »
AstraZeneca has successfully concluded its inaugural Week of Service, a groundbreaking initiative that showcased its dedication to societal impact and environmental sustainability across its African operations. Employees from various countries united to volunteer their time, skills, and resources, embodying the company’s vision of building healthier, more resilient communities. Spanning five days, the initiative engaged staff
AstraZeneca Completes Successful Week of Service Across Africa Read More »
📌 Ashiriki Mkutano wa Nchi Wanachama wa EAPP nchini Kenya 📌 Aeleza jinsi Tanzania inavyotekeleza miradi ya umeme kwa ufanisi 📌 Asema zaidi ya asilimia 99 ya Vijiji nchini vimesambaziwa umeme Naibu Waziri Nishati, Judidhi Kapinga amesema uwekezaji uliofanyika kwenye Sekta ya nishati nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu itazinufaisha Nchi Wanachama wa Umoja
Uwekezaji sekta ya Nishati Tanzania kunufaisha nchi wanachama EAPP – Kapinga Read More »
Airtel Tanzania has today handed over Airtel internet routers to 50 public schools situated in Rombo, Kilimanjaro, cementing the telecom’s devotion to enhancing digital learning across Tanzania. The donation of the routers is part of Airtel’s flagship initiative in partnership with the United Nations Children’s Fund (UNICEF) dubbed the Airtel SMARTWASOMI, designed to bridge the
Airtel Tanzania Transforms Digital Learning in Rombo with Innovative Internet Routers Read More »
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imeendelea kupokea meli kubwa za mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam ikitokea China yenye uwezo wa kusafirisha zaidi ya kontena 4,000. Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Plasduce Mbossa, kwenye hafla fupi ya kuipokea meli kubwa ya mizigo inayoitwa EverGreen Line
Meli kubwa ya kontena 4,000 yatua Bandari ya Dar Read More »