Admin

Makandarasi wapigwa darasa usimamizi wa fedha katika miradi ya ujenzi

Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) imewanoa makandarasi wazawa kuhusu usimamizi mzuri wa fedha kwenye utekelezaji wa miradi ya ujenzi katika mafunzo ya siku tatu yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma na kuwakutanisha washiriki kutoka mikoa mbalimbali. Aidha, wamesisitizwa kutumia wataalamu wa fani stahiki katika makampuni yao na katika utekelezaji wa miradi ili kuepuka changamoto

Makandarasi wapigwa darasa usimamizi wa fedha katika miradi ya ujenzi Read More »

Watumishi REA watakiwa kufanya kazi kuendana na kasi ya serikali

📌Asisitiza kuongeza ubunifu na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma 📌Awataka kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa maadili 📌Wizara ya Nishati yaipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu, ubunifu, juhudi, maarifa na upendo ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa

Watumishi REA watakiwa kufanya kazi kuendana na kasi ya serikali Read More »

Serikali yaahidi kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kutatua changamoto

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema serikali itaendelea kushirikiana na wafanyabiashara na wawekezaji kutatua changamoto mbalimbali zinazokwamisha ustawi na maendeleo ya biashara nchini. Ametoa kauli hiyo ya serikali wakati akifungua kongamano la mwaka la majadiliano ya biashara na uwekezaji kati ya serikali na sekta binafsi lililoandaliwa na Chemba ya Biashara,

Serikali yaahidi kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kutatua changamoto Read More »

Organisers and Stakeholders Collaborate for a Remarkable Tanzania Film Festival 2025

THE Tanzania Film Festival 2025 is set to be a ground-breaking event, with the Ministry of Information, Culture, Arts and Sports in collaboration with Studio 19, launching the festival’s roadmap. The next year’s festival aims to elevate the film industry by providing a platform for local filmmakers, artists, and storytellers to showcase their talent, foster

Organisers and Stakeholders Collaborate for a Remarkable Tanzania Film Festival 2025 Read More »

Tanzanian Trailblazer Bernice Fernandes Celebrated for Empowering Women

BERNICE Fernandes, a  Tanzanian entrepreneur and the founder of Accelerate Business Group and Accelerate Women, has been honoured with the prestigious Global Entrepreneurship Festival (GEF) Award for her remarkable leadership in championing women’s empowerment. The award ceremony took place recently in Nigeria, underscoring the growing recognition of women’s economic participation as a cornerstone of sustainable

Tanzanian Trailblazer Bernice Fernandes Celebrated for Empowering Women Read More »

Anne Makinda ataka tafiti kwanini wavulana wanashuka kitaaluma

SPIKA mstaafu Anne Makinda ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kairuki amependekeza zifanyike tafiti kujua sababu za watoto wengi wa kiume kuachwa nyuma kitaaluma na wenzao wa kike. Aliyasema hayo leo wakati wa kongamano la sita kitaaluma lililoandaliwa na chuo hicho kujadili namna sekta ya afya inaavyoweza kufanya mabadiliko kwa huduma hizokutolewa kidijitali.

Anne Makinda ataka tafiti kwanini wavulana wanashuka kitaaluma Read More »

Wadau wa elimu wakutana kujadili ubunifu na uwezeshaji kwa maendeleo endelevu

Wadau, wanataaluma, na wanafunzi wameshiriki kongamano la 11 la kitaaluma (Convocation) juu ya uwezeshaji na ubunifu katika kubadilisha elimu kuwa fursa. Akizungumza juzi jijini Dar es Salaam, Naibu Mkuu wa Chuo Taaluma, Prof. Sotco Komba, alisema kuwa kongamano hili limekuwa fursa kwa wanafunzi kujifunza masuala ya ubunifu, ambapo katika maisha ya sasa ubunifu ni kichocheo

Wadau wa elimu wakutana kujadili ubunifu na uwezeshaji kwa maendeleo endelevu Read More »

Verified by MonsterInsights