LSF, Smile for Community wajengea vyoo shule za sekondari Mtwara
SHIRIKA la Uwezeshaji wa Kisheria linalofahamika kama Legal Service Facilities(LSF), kwa kushirikiana na wadau wengine wakiwamo Smile for Community, wamechangia kuboresha miundombinu ya shule ya Sekondari ya Nanyamba na Mnyawi zilizopo mkoani Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Run for Binti, Flora Njelekela amesema maboresho waliyofanya kwenye shule hizo ni ujenzi wa vyoo vyenye matundu […]
LSF, Smile for Community wajengea vyoo shule za sekondari Mtwara Read More »