Ufanisi TPA wazidi kuiweka pazuri ikipokea tuzo kwa Rais
MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA), imepewa tuzo ya mshindi wa tatu kati ya Mashirika ya Umma yanayojiendesha kibiashara kwa ufanisi wa huduma na ukusanyaji wa mapato. Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyekabidhi tuzo hiyo leo jijini Arusha katika kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi pamoja na Wakuu wa Taasisi wa Mashirika ya Umma na Wakala […]
Ufanisi TPA wazidi kuiweka pazuri ikipokea tuzo kwa Rais Read More »