Mke wa Rais afurahia upandikizaji mimba Kairuki
Mke wa Rais wa Malawi, Monica Chakwera ameelezea kufurahishwa kwake na huduma za upandikaji mimba inazotolewa na Kituo cha Kairuki Greeg IVF na kusema kuwa anatamani kuona huduma kama hizo zinaanza kutolewa nchini mwake. Aliyasema hayo jana baada ya kutembelea kituo hicho kilichoko Bunju Mianzini jijini Dar es Salaam, ambapo alifahamishwa kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanyika […]
Mke wa Rais afurahia upandikizaji mimba Kairuki Read More »