Admin

Wizara ya Afya hatua za kudhibiti Mpox

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kujidhatiti katika kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Mpox kwa kutoa vielelezo vyenye jumbe zenye maudhui mbalimbali ya uelimishaji kuhusu ugonjwa huo katika mipaka mbalimbali ya nchi na viwanja vya ndege. Hatua hiyo imeanza kuchukuliwa ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo aliyotoa Waziri wa Afya Jenista Mhagama alipotembelea […]

Wizara ya Afya hatua za kudhibiti Mpox Read More »

Singida BS yajifungia Dar

KIKOSI cha Singida Black Stars kimeweka kambi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazoezi kwenye viwanja vya nyasi bandia kabla ya kuivaa Kagera Sugar, Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Kaitaba ulioko Bukoba, mkoani Kagera. Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hussein Massanza, amesema jana wamewasili Dar kwa lengo la kuweka mikakakati ya kuhakikisha wanapata

Singida BS yajifungia Dar Read More »

Mingange kuinoa Stand United FC

ALIYEKUWA kocha wa Ndanda FC na Mashujaa, Meja Mstaafu Abdul Mingange, ametua katika timu ya Stand United ya Shinyanga ambayo itashiriki Ligi ya Championship msimu mpya. Taarifa iliyotolewa na Stand United, inasema wamempa Mingange mkataba wa mwaka mmoja na wanaamini anauwezo wa kusaidia kuipandisha daraja timu hiyo iliyoteremka msimu wa 2018/19. “Mingange ndiyo kocha wetu

Mingange kuinoa Stand United FC Read More »

Simba Queens, PVB Buyenzi kuvaana

KIKOSI cha Simba Queens kinatarajia kukutana na PVB Buyenzi kutoka Burundi katika mechi ya mwisho ya Kundi B ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), itakayochezwa leo kwenye Uwanja wa Abebe Bikila jijini Addis Ababa, Ethiopia. Tayari Simba Queens ambayo ni vinara wa Kundi B wameshatinga hatua ya nusu fainali ya michuano

Simba Queens, PVB Buyenzi kuvaana Read More »

Mkaguzi kata aguswa na changamoto ya wananchi, atoa viti Mwendo Kisangura

Mkaguzi Kata ya Kisangura Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi A/Insp Genuine Kimario ameendelea kuyafikia makundi mbalimbali katika kata yake ambapo ametoa viti mwendo kwa Mzee Benjamini Imori miaka 80 Mkazi wa kata hiyo na Mariam Wankuru. Mkaguzi Kimario amefikia hatua hiyo baada ya kumuona mzee huyo katika kata hiyo akiwa na changamoto ya

Mkaguzi kata aguswa na changamoto ya wananchi, atoa viti Mwendo Kisangura Read More »

ACT Wazalendo kujipanga kuelekea uchaguzi za serikali za mitaa

Chama cha ACT Wazalendo kinatarajiwa kufanya kikao cha Halmashauri Kuu tarehe 25 Agosti 2024 kitachojikita katika kujipanga kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kikao hicho kitatanguliwa na kikao cha Kamati Kuu kitachokutana tarehe 24 Agosti 2024. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo, vikao vyote hivyo vitafanyika katika

ACT Wazalendo kujipanga kuelekea uchaguzi za serikali za mitaa Read More »

Dk. Mpango aielekeza Wizara ya Madini kusimamia madini kumkakati kwa manufaa ya Watanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Madini kuhakisha inasimamia vyema uvunaji wa madini ya kimkakati ili nchi iweze kunufaika nayo. Dk. Mpango ameyasema hayo leo Agosti 22, 2024 Katika eneo La Mpwayungu,Wilaya ya Chamwino-Dodoma wakati akihitimisha ziara ya siku nne ya Mkoa wa Dodoma. Amesema, Mwenyezi

Dk. Mpango aielekeza Wizara ya Madini kusimamia madini kumkakati kwa manufaa ya Watanzania Read More »