Wanafunzi wote Shule ya Hazina Magomeni wafaulu kwa alama A darasa la saba
WANAFUNZI wote wa Shule ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam wamefaulu kwa alama A kwenye matokeo ya darasa la saba yaliyotangazwa leo. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani NECTA, Dk. Said Mohamed mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Kwenye matokeo […]
Wanafunzi wote Shule ya Hazina Magomeni wafaulu kwa alama A darasa la saba Read More »