Admin

Wanafunzi wote Shule ya Hazina Magomeni wafaulu kwa alama A darasa la saba

WANAFUNZI wote wa Shule ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam wamefaulu kwa alama A kwenye matokeo ya darasa la saba yaliyotangazwa leo. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani NECTA, Dk. Said Mohamed  mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Kwenye matokeo […]

Wanafunzi wote Shule ya Hazina Magomeni wafaulu kwa alama A darasa la saba Read More »

Dk. Biteko asema Rais Samia anataka ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi katika Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati kuwa na umoja, ushirikiano na ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi ikiwemo za umeme, mafuta,na Nishati Safi ya Kupikia. Amesema hayo tarehe 28 Oktoba, 2024 jijini Dodoma wakati wa Kikao chake

Dk. Biteko asema Rais Samia anataka ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi Read More »

Verified by MonsterInsights