Polisi yamkamata aliyetishia watu silaha
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limekamata Derick Derick Junior, mwenye umri wa miaka 36, mkazi wa Salasala, Kinondoni, kwa tuhuma za kujeruhi na kutishia watu kwa silaha. Tukio hilo lililotokea saa 12:30 asubuhi katika maeneo ya ‘1245 Night Club’ Masaki, linadaiwa kuhusisha Derick kumjeruhi Julian Bujuru kwa kutumia kitako cha bastola, na […]
Polisi yamkamata aliyetishia watu silaha Read More »