Admin

NMB Bank reiterates commitment to financing South Korean firms undertaking projects in Tanzania

NMB Bank Plc has reiterated its commitment to financing South Korean companies with interest in investing in Tanzania, as part of its efforts to support sustainable economic growth. The NMB Bank Head Transaction Banking Linda Teggisa reaffirmed this during an interactive hybrid session sponsored by NMB Bank held in Dar es Salaam yesterday dubbed, “2024

NMB Bank reiterates commitment to financing South Korean firms undertaking projects in Tanzania Read More »

Makamu wa Rais kushiriki Tigo Z’bar Marathon 2024

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kushiriki mbio za Tigo Zanzibar Marathon 2024, zitakazofanyika mwezi ujao visiwani humo. Aidha, amepongeza waandaaji wa mbio hizo ambazo amezitaja zinaunganisha watu. “Binafsi napenda sana kushiriki katika mbio hizi, zinawaleta watu pamoja na kushiriki katika kujenga afya, nawapongeza sana waandaaji na wadhamini wa mbio

Makamu wa Rais kushiriki Tigo Z’bar Marathon 2024 Read More »

Aweso aeleza makubwa aliofanya Rais Samia uwekezaji miundombinu ya elimu

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya kazi kubwa sana katika uwekezaji kwenye Miundombinu ya Elimu. Waziri Aweso ameyasema hayo baada ya kuzindua mradi wa Ujenzi wa shule mpya ya Kata ya Mwanuzi yenye madarasa nane, jengo la Utawala, Maabara tatu,vyoo kumi, chumba

Aweso aeleza makubwa aliofanya Rais Samia uwekezaji miundombinu ya elimu Read More »

IWPG and Saudi Adept Chairwoman Association Unite for Global Peace Initiative

On September 17, the International Women’s Peace Group (IWPG) Global Region 2 (Regional Director Seoyeon Lee) signed a Memorandum of Understanding (MOU) for the realization of world peace with Ms. Sherazi Numera Mohsin, President of the Adept Chairwoman Association in Saudi Arabia, at Hayoung Hall, located in Kensington Resort in Gapyeong, Gyeonggi Province. The Adept

IWPG and Saudi Adept Chairwoman Association Unite for Global Peace Initiative Read More »

Dk. Mataragio apongeza Puma Energy Tanzania kushirikiana na Serikali uhamasishaji Nishati Safi ya Kupikia

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati,  Dk. James Mataragio amesema Serikali inaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji  na miundombinu ya Sekta ya Nishati nchini ili  kuwezesha wananchi kufikiwa na huduma stahiki bila kujali umbali na vipato vyao. Dk. Mataragio ameyaeleza hayo  jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji Tuzo kwa Mawakala na Wadau wa

Dk. Mataragio apongeza Puma Energy Tanzania kushirikiana na Serikali uhamasishaji Nishati Safi ya Kupikia Read More »

Silaa: Watumishi Singida tangulizeni maslahi mbele ya wananchi

WAZIRI wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amewataka watumishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Singida kutanguliza maslahi mbele ya wananchi katika utendaji wao wa kazi ili kuupaisha mkoa huo na taifa kimaendeleo. Akizungumza na watumishi hao leo Oktoba 26, 2024 amesema iwapo watatanguliza maslahi ya wananchi kazi zitakwenda vizuri lakini wakitanguliza maslahi yao

Silaa: Watumishi Singida tangulizeni maslahi mbele ya wananchi Read More »

Verified by MonsterInsights