Mgodi wa GGM waanza kutumia umeme wa gridi badala ya mafuta
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amezindua kituo cha kupokea na kupoza umeme katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) chenye uwezo wa megawati 34 ambacho sasa kinawezesha GGML kuanza kutumia umeme wa gridi kwa matumizi yake badala ya mafuta na hivyo kupunguza gharama za uendeshaji. Baada ya kuzindua kituo hicho […]
Mgodi wa GGM waanza kutumia umeme wa gridi badala ya mafuta Read More ยป