Admin

Che Malone: Tutalipa kisasi

BEKI wa kati wa Simba, Che Malone Fondoh, amesema kupoteza mchezo dhidi ya Yanga kumewaumiza lakini wanaamini zamu yao ya kufurahi haipo mbali kwa sababu kikosi chao kinaendelea kuimarika. Malone, aliliambia gazeti hili viwango vya wachezaji wa Simba vinazidi ‘kupanda’ na anaamini mechi ya marudiano dhidi ya Yanga watapata ushindi. “Mchezo dhidi ya Yanga umepita,

Che Malone: Tutalipa kisasi Read More »

Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP, vijiji 12,240 vyafikiwa na nishati ya umeme

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mussa Makame amesema utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki ( EACOP),   umefikia asilimia 43.5 huku baadhi ya kazi za ujenzi katika makambi na vituo vya kuhifadhia mabomba zikikamilika kwa asilimia 100. Amesema hayo leo wakati akitoa taarifa kwa Kamati

Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP, vijiji 12,240 vyafikiwa na nishati ya umeme Read More »

Verified by MonsterInsights