TCRA: Watumiaji simu za rununu wafikia milioni 56
RIPOTI ya Takwimu za Mawasiliano Tanzania iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeonyesha kuwa matumizi ya simu za rununu maarufu kama vitochi imeongezeka kutoka asilimia 82.6 hadi 84.83. Aidha, watumiaji wa simu rununu ni watu mil 56.2 kutoka mil 52 Juni 2024,huku simu janja zikiwa ni mil 22.02. Ripoti hiyo imeonyesha kuwa hadi Septemba […]
TCRA: Watumiaji simu za rununu wafikia milioni 56 Read More »