Admin

Kamati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaja Bara kujifunza Usalama na Afya kazini

KAMATI ya Kudumu ya Utalii, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imetembelea Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) pamoja na baadhi ya viwanda vinavyosimamiwa na OSHA lengo likiwa ni kujifunza mfumo wa usimamizi wa masuala ya usalama na afya kwa upande wa Tanzania Bara ili kushauri maboresho stahiki kwa upande […]

Kamati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaja Bara kujifunza Usalama na Afya kazini Read More »

Balozi Nchimbi ajiandikisha kupiga kura serikali za mitaa, atoa wito watu kujitokeza kwa wingi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma leo tarehe 18, Oktoba 2024. Akizungumza baada ya kujiandikisha, Balozi Nchimbi aliwasisitiza wananchi umuhimu wa kujitokeza kwa wingi kuandikishwa, akisema kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha ushiriki wao kwenye mchakato

Balozi Nchimbi ajiandikisha kupiga kura serikali za mitaa, atoa wito watu kujitokeza kwa wingi Read More »

Tuondokane na matumizi ya Nishati isiyo safi kulinda afya zetu- Mwanaidi 

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Khamis ametoa rai kwa jamii kuondokana na matumizi ya nishati zisizo safi ili kulinda afya zao. Khamis ameyasema hayo Jijini Dodoma  wakati akihamasisha wananchi kuachana na matumizi ya nishati isiyo safi na kuanza kupika kisasa kwa kutumia nishati iliyo safi. “Jamii ihamie katika

Tuondokane na matumizi ya Nishati isiyo safi kulinda afya zetu- Mwanaidi  Read More »

Madereva wanaotumia lugha chechefu kwa abiria waonywa, wasio na sanduku la dharula wapigwa faini

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini limewataka madereva kufuata sheria za Usalama Barabarani ambapo limewataka madereva hao kutoa lugha nzuri na rafiki kwa abiria Pamoja na kuongea nao kabla ya safari kuanza huku likiwapiga faini madereva ambao hawana sanduku la dhalula. Akiongea leo Alfajiri Oktoba 16,2024 katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani na

Madereva wanaotumia lugha chechefu kwa abiria waonywa, wasio na sanduku la dharula wapigwa faini Read More »

IWPG Global Region 2, Signing of MOU for Peace Project Realization with Australia’s Femme Solidarity

The Global Region 2 of the International Women’s Peace Group (IWPG) (Regional Director of G2: Seo-yeon Lee) signed a Memorandum of Understanding (MOU) with Australia’s Femme Solidarity on September 17 at Ha-yeong Hall, Kensington Resort, for the realization of peace projects. On this day, IWPG Global Region 2 held a meeting for the exchange and

IWPG Global Region 2, Signing of MOU for Peace Project Realization with Australia’s Femme Solidarity Read More »

Nishati Safi ya kupikia itaondoa kadhia za kuni na mkaa kwa watu wenye mahitaji maalum- Nderiananga

Naibu Waziri Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Ummy Nderiananga amesema kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yanaenda kuwaokoa watu wenye mahitaji maalum na kadhia zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia ikiwemo kuni na mkaa. Amesema kadhia hizo wanazipata nyakati za utafutaji na utumiaji wa nishati hizo zisizo

Nishati Safi ya kupikia itaondoa kadhia za kuni na mkaa kwa watu wenye mahitaji maalum- Nderiananga Read More »

Verified by MonsterInsights