Admin

Wizara ya Maji na Shirika la GIZ la Ujerumani kushirikiana kuzijengea uwezo Taasisi za Maji

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso(Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Shirika la GIZ la Ujerumani kuhusu kuanzisha programu ya kuzinjegea uwezo watumishi na Taasisi za maji kuhusu masuala ya menejimenti na uongozi. Mazungumzo hayo yaliyofanyika makao makuu ya GIZ, Eschborn nchini Ujerumani yanalenga kuendeleza mageuzi ya Sekta ya Maji nchini kuimarisha uwezo wa watumishi […]

Wizara ya Maji na Shirika la GIZ la Ujerumani kushirikiana kuzijengea uwezo Taasisi za Maji Read More »

Kapinga aihamasisha Dunia kushiriki Duru ya tano ya vitalu vya Gesi Asilia Tanzania

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati itaanza  zoezi la kunadi vitalu 24 vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia mwezi Machi 2025 katika kipindi cha  Kongamano na Maonesho ya Mafuta na Gesi Asilia  Afrika Mashariki yatakayofanyika nchini. Judith Kapinga amesema hayo wakati akihutubia  Kongamano la Wiki ya Mafuta Afrika

Kapinga aihamasisha Dunia kushiriki Duru ya tano ya vitalu vya Gesi Asilia Tanzania Read More »

Wakazi Dar es Salaam ya Kusini wapewa uhakika Majisafi ifikapo Desemba 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) William Lukuvi ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji maji Dar es Salaam ya kusini maarufu kama Bangulo na kuahidi kukamilika mapema Desemba 2024 na utahudumia wakazi zaidi ya 450,000 katika kata za Pugu station, Kipinguni, Kiluvya, Kitunda, Mzinga, Kinyerezi na Msigani.

Wakazi Dar es Salaam ya Kusini wapewa uhakika Majisafi ifikapo Desemba 2024 Read More »

Akiba Commercial Bank Plc yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja

Benki ya Akiba Commercial Plc imewashukuru wateja wake kuungana nao katika safari hii ya kutoa huduma bora zaidi za kibenki ambazo zinachangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania. Shukrani hizo zimetolewa leo Oktoba 9,2024 Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Akiba Commercial, Silvest Arumasi katika Maadhimisho ya Wiki ya huduma kwa

Akiba Commercial Bank Plc yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Read More »

NMB partners with Wakandi to enhance financial services for SACCOS

NMB Bank has teamed up with fintech firm Wakandi Tanzania to create a strategic alliance focused on empowering local savings and credit cooperatives (SACCOs) through innovative technology and digital solutions. As part of this partnership, the two organizations have unveiled the Wakandi SACCOs solution package, which offers cutting-edge banking solutions tailored to address the financial

NMB partners with Wakandi to enhance financial services for SACCOS Read More »

DC Bulembo aipongeza Puma Energy kurahisisha upatikanaji huduma za nishati kwa wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo ameipongeza Puma Energy Tanzania kwa jitihada zake za kuendelea kurahisisha upatikanaji wa huduma na bidhaa za nishati kwa Watanzania kwenye maeneo mbalimbali nchini. Aliyasema hayo wakati aliposhiriki katika uzinduzi rasmi wa kituo kipya cha mafuta na huduma za ziada cha kampuni hiyo katika eneo la Dege Mtaa, Kata

DC Bulembo aipongeza Puma Energy kurahisisha upatikanaji huduma za nishati kwa wananchi Read More »

Social groups in Chalinze trained during NMB Village day at Miono

By our correspondent Social groups in the country have been urged to seize opportunities available in the NMB Group Account to formalize their activities and benefit from insurance services, loans, and digital financial inclusion services for their economic development. This call was made by Dismas Prosper, NMB’s Zone Manager responsible for Group Sales and Rural

Social groups in Chalinze trained during NMB Village day at Miono Read More »

Tanzania yashiriki Mkutano wa Maendeleo endelevu wa Hamburg Ujerumani (Hamburg Sustainability Conference)

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Maendeleo Endelevu (Hamburg Sustainability Conference) unaofanyika Hamburg Ujerumani ambao umefunguliwa rasmi na Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz leo Oktoba 07, 2024. Kwenye mkutano huo, Aweso ameandamana na Hassani Iddi Mwamweta, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mkutano huo umewakutanisha Marais, Mawaziri

Tanzania yashiriki Mkutano wa Maendeleo endelevu wa Hamburg Ujerumani (Hamburg Sustainability Conference) Read More »

Verified by MonsterInsights