Admin

Lukuvi atembelea Mradi wa Ujenzi wa Mfereji Mkombozi, Pawaga

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani amesema Mfereji Mkubwa wa Umwagiliaji wa Mkombozi unaojengwa na Serikali katika Bonde la Pwaga utakuwa msaada mkubwa kwa wananchi katika kujishughulisha na kazi za kilimo. Waziri ametoa kauli hiyo katika ziara yake ya kutembelea Miradi ya Maendeleo na kufanya […]

Lukuvi atembelea Mradi wa Ujenzi wa Mfereji Mkombozi, Pawaga Read More »

Nishati Safi ya kupikia italeta mageuzi makubwa ulindaji wa mazingira- Mahundi

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Maryprisca Mahundi amesema nchi inakwenda kushuhudia mageuzi makubwa ya utunzaji wa mazingira kupitia Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ambao kinara wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Samia Suluhu Hassan.  Mahundi ameyasema hayo Jijini Dodoma  wakati akihamasisha wananchi kuachana na matumizi

Nishati Safi ya kupikia italeta mageuzi makubwa ulindaji wa mazingira- Mahundi Read More »

Utekelezaji miradi ya maendeleo uzingatie vipaumbele vya wananchi- Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati na Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Judith Kapinga amesema dhamira ya Serikali ni kuona wananchi wanashirikishwa katika kufanya maamuzi ya maendeleo katika maeneo yao.  Aidha, Viongozi katika ngazi mbalimbali wahakikishe maamuzi hayo yanazingatia  mipango na programu zinazoakisi hali halisi ya wananchi, mahitaji yao pamoja na  vipaumbele. Kapinga amesema hayo leo

Utekelezaji miradi ya maendeleo uzingatie vipaumbele vya wananchi- Kapinga Read More »

‘Waliotumwa na afande’ wahukumiwa kifungo cha maisha gerezani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam. Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo

‘Waliotumwa na afande’ wahukumiwa kifungo cha maisha gerezani Read More »

NMB emphasizes inclusive leadership and management training for women

In the leadership and inclusive management training for women concluded at the Mwalimu Nyerere Leadership School in Kibaha, Coast Region, on Friday, September 27, participants were urged to make a positive impact on the lives of those they lead and to provide opportunities for them to demonstrate their abilities. This training program, which included female

NMB emphasizes inclusive leadership and management training for women Read More »

NMB ‘yakazia’ Mafunzo ya Uongozi na Usimamizi Jumuishi kwa Wanawake

Mafunzo ya Uongozi na Usimamizi Jumuishi kwa Wanawake yaliyofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani, yamefungwa Ijumaa Septemba 27, huku washiriki wakitakiwa kuweka alama chanya kwenye maisha ya wanaowaongoza, pamoja na kuwapa nafasi ya kuonesha uwezo wao. Mafunzo hayo yaliyoshirikisha wanawake viongozi kutoka Taasisi za Umma, Taasisi Binafsi, Wizara na Idara

NMB ‘yakazia’ Mafunzo ya Uongozi na Usimamizi Jumuishi kwa Wanawake Read More »

Verified by MonsterInsights