Ado: Shida ya Maji Kanda ya Ziwa ni Ishara ya Serikali Kupuuza Wananchi
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu ametupia lawama serikali kwa kushindwa kuwahakikishia upatikanaji wa maji wananchi wa kanda ya ziwa licha ya kanda hiyo kuzungukwa na Ziwa Victoria. Ziwa Victoria ni ziwa lapili kwa ukubwa lenye majitamu duniani ambapo limezunguka Nchi kadhaa ikiwa ni pamoja na Tanzania, Kenya, Uganda. Sehemu kubwa ya […]
Ado: Shida ya Maji Kanda ya Ziwa ni Ishara ya Serikali Kupuuza Wananchi Read More »