Hakimu amuonya wakili wa utetezi kwa kuchelewesha kesi, asema lazima kesi ifike mwisho
HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam Aaron Lyamuya, ameelezea kukerwa na tabia ya wakili wa utetezi kwenye kesi ya jinai, Edward Chuwa kutaka kesi iahirishwe mara kwa mara. “Hivi siyo vitu vya kutengeneza vipo kwenye rekodi za mahakama, hili shauri lazima liishe hatuwezi kuja hapa kila siku tunakaa tu […]
Hakimu amuonya wakili wa utetezi kwa kuchelewesha kesi, asema lazima kesi ifike mwisho Read More »