Admin

Xi congratulates Dissanayake on assuming presidency of Sri Lanka

 Chinese President Xi Jinping yesterday sent a message to Anura Kumara Dissanayake to congratulate him on his inauguration as president of the Democratic Socialist Republic of Sri Lanka.  Xi (pictured) hailed China and Sri Lanka as traditional friendly neighbors, saying that since the establishment of diplomatic ties 67 years ago, China and Sri Lanka have

Xi congratulates Dissanayake on assuming presidency of Sri Lanka Read More »

Waziri Katimba aeleza athari matumizi nishati isiyo safi, ataka kuungwa mkono makakati Nishati Safi

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Zainabu Katimba ametoa rai kwa wananchi kuunga mkono kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ambayo ni Ajenda iliyoanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan. “Nyakati zimebadilika, tuunge mkono juhudi za Mheshimiwa Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan

Waziri Katimba aeleza athari matumizi nishati isiyo safi, ataka kuungwa mkono makakati Nishati Safi Read More »

Naibu Kadhi Mkuu, Ali Khamis Ali ampongeza Shiraz kwa kujenga Msikiti Dar

Naibu Kadhi Mkuu, Ali Khamis Ali amempongeza mfanyabiashara Shiraz Rashid kwa kujitolea kujenga Msikiti wa Imam Ali Bin Abu Talib eneo la Magomeni jijini Dar es Salaam. Alitoa pongezi hizo mwishoni mwa wiki wakati wa hafla ya uzinduzi wa Msikiti huo hafla ambayo ilihudhuriwa na wageni mbalimbali mbali wakiwemo mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao. Alisema lengo

Naibu Kadhi Mkuu, Ali Khamis Ali ampongeza Shiraz kwa kujenga Msikiti Dar Read More »

Listen, confer, act: China’s political advisory body turns 75

There is some good news for farmers in Yinjiayuan, a village in Jiangsu Province, east China. The cost of watering their land has dropped by 20 percent, and pump malfunctions have significantly decreased — all thanks to a local political advisor. Shi Weidong is a member of the National Committee of the Chinese People’s Political

Listen, confer, act: China’s political advisory body turns 75 Read More »

Madalali wa Mahakama waaswa kutekeleza vema majukumu yao ili kuepuka kulalamikiwa     

Msajili wa Mahakama ya Rufani George Herbert ametoa wito kwa madalali na wasambaza nyaraka za Mahakama kutekeleza vema majukumu yao ili kuepuka malalamiko ya wananchi ambayo yataleta athari hasi kwa Mahakama, wao binafsi, familia na taifa kwa ujumla. Herbert ametoa wito huo wakati akifungua mafunzo ya 13 ya watu wenye nia ya kufanya kazi ya

Madalali wa Mahakama waaswa kutekeleza vema majukumu yao ili kuepuka kulalamikiwa      Read More »

Verified by MonsterInsights