Mkurugenzi Benki ya NBC ataja suluhisho uimarishaji huduma ya bima jumuishi nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Bw Theobald Sabi, amesisitiza umuhimu wa teknolojia, elimu kwa umma pamoja na ubia baina ya wadau muhimu wa sekta ya bima ikiwemo serikali, taasisi za fedha na kampuni za mitandao ya simu kama suluhisho muhimu katika kuimarisha na kuchochea kasi ya upatikanaji wa huduma ya bima […]
Mkurugenzi Benki ya NBC ataja suluhisho uimarishaji huduma ya bima jumuishi nchini Read More »