Admin

Britam Insurance awards free health insurance to ensure access to medical insurance for all

In a significant move to support the government’s efforts to ensure that all citizens have access to health insurance, Britam Insurance Tanzania awarded free health insurance during the annual Bima Walk held in Dodoma. The walk which brings together other key insurance industry players served as an opportunity to highlight the critical importance of insurance

Britam Insurance awards free health insurance to ensure access to medical insurance for all Read More »

Utouh aishauri ATCL kununua ndege ndogo kuboresha safari za ndani

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wajibu, inayojihusisha na kukuza mazingira ya uwajibikaji wa Umma nchini Tanzania, Ludovic Utouh, amelishauri Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), kuongeza ununuzi wa ndege ndogo kwa ajili ya safari za ndani kama hatua muhimu ya kuboresha sekta ya usafiri wa anga nchini. Utouh ambaye aliwahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu

Utouh aishauri ATCL kununua ndege ndogo kuboresha safari za ndani Read More »

“Rais Samia yupo ‘serious’ na kilimo”- RC Macha

Macha amebainisha hayo leo Septemba 13,2024 wakati akifungua kikao cha kamati ya ushauri mkoa wa Shinyanga (RCC). Amesema Rais Samia kwenye utawala wake amefanya mambo makubwa katika sekta mbalimbali, na kwamba kwenye masuala ya kilimo amekuwa “serious” na ametoa vitendea kazi kwa maofisa ugani, ili wawe karibu na wananchi na kuwafikia virahisi na kuwapatia elimu

“Rais Samia yupo ‘serious’ na kilimo”- RC Macha Read More »