Zitto: Bandari ya Mbamba bay ni bandari ya kimkakati iharakishwe
Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametuma salamu kwa Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa kumtaka afuatilie na kuhakikisha Mradi wa Bandari ya Mbamba bay unakamilika ili kuchochea uchumi wa Ruvuma. “Tumechoka kusikia kila siku mkandarasi yupo site tunataka bandari ikamilike. Tukikamilisha Ujenzi wa Bandari ya Mbamba bay na ijengwe Reli kutoka Bandari ya Mtwara […]
Zitto: Bandari ya Mbamba bay ni bandari ya kimkakati iharakishwe Read More »