Admin

Serikali yapongezwa kujenga maabara ya kupima mionzi visiwani Zanzibar

Bunge limeipongeza serikali kwa kujenga ofisi na maabara ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), mionzi visiwani Zanzibarjambo litakalosaidia upimaji wa sampuli na kusaidia watafiti kuitumia maabara hiyo. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Husna Sekiboko, ametoa pongezi hizo leo wakati wa ziara ya kamati yake ilipotembelea ofisi […]

Serikali yapongezwa kujenga maabara ya kupima mionzi visiwani Zanzibar Read More »

Dkt. Frank Masao asema wanaohisi wanyonge kijamii rahisi kujitoa uhai

WATU wenye wasiwasi, wanaojitenga, waraibu wa vilevi na wanaojihisi wanyonge katika jamii kama vile wakimbizi ni miongoni mwa wanaotajwa kuwa hatarini katika kutoa uhai. Bingwa Mshauri Mwandamizi wa Magonjwa ya Afya ya Akili kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)-Mloganzila, Dk. Frank Masao, aliyasema hayo Septemba 10, mwaka huu, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uzuiaji

Dkt. Frank Masao asema wanaohisi wanyonge kijamii rahisi kujitoa uhai Read More »

Airtel Africa Foundation unveils ‘Airtel Africa Fellowship Program’ to empower  students at IIT Madras Zanzibar

The Airtel Africa Foundation today announced the launch of the prestigious ‘Airtel Africa Fellowship Program’ for the undergraduate students at IIT Madras Zanzibar, the first-ever foreign campus established by an IIT. The Fellowship aims to support deserving students from diverse socio-economic backgrounds enrolled in the Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence at

Airtel Africa Foundation unveils ‘Airtel Africa Fellowship Program’ to empower  students at IIT Madras Zanzibar Read More »

PPAA yatoa elimu Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki katika Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma la Afrika Mashariki Jijini Arusha. Kongamano hilo lilianza tarehe 9 – 12 Septemba 2024.  Aidha, katika kongamano hilo, PPAA imeshiriki pia kufanya maonesho ya kutoa elimu kuhusu majukumu, malengo na mafanikio yake kwa umma na wadau wa sekta

PPAA yatoa elimu Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki Read More »

Dkt. Biteko ashuhudia makabidhiano leseni ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuvutia wawekezaji katika tafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi nchini ili watanzania wanufaike na rasilimali zilizopo. Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 10, 2024 wakati wa Hafla ya makabidhiano ya leseni ya uendelezaji eneo la uzinduzi wa Gesi kati ya

Dkt. Biteko ashuhudia makabidhiano leseni ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma Read More »

Government expands reach and empowers youth through Ndondo Cup

THE Ndondo Cup 2024 in Dodoma, which kicked off on September 8, showcases the U.S. Government’s commitment to combining sports with vital health initiatives aimed at combating HIV and promoting immunization among Tanzania’s youth. Led by USAID and PEPFAR through the Breakthrough ACTION project, this grassroots soccer tournament transcends traditional sports events, serving as a

Government expands reach and empowers youth through Ndondo Cup Read More »