Ubalozi wa Marekani watoa tamko matukio ya utekaji
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa tamko la kutoa wito kwa serikali kutaka uchunguzi huru ufanyike kwa haraka dhidi ya vitendo vya utekaji na mauaji unao endelea sehemu mbalimbali nchini. Tarifa hiyo iliyotolewa mapema hii leo imeeleza kukithiri kwa vitendo hivyo kuna dhoofisha haki za msingi za watu zinazohakikishwa na katiba ya Tanzania na vitendo […]
Ubalozi wa Marekani watoa tamko matukio ya utekaji Read More »