Wizara ya Katiba na Sheria yazindua Kituo cha Huduma kwa wateja leo
WIZARA ya Katiba na Sheria, imezindua rasmi Kituo cha Huduma kwa Mteja cha Huduma za Kisheria ambacho kitakuwa kinapokea malalamiko, hoja maswali na tuhuma za rushwa kwa njia ya simu kutoka kwa wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi na kutatuliwa moja kwa moja na wataalamu. Kituo hicho kimezinduliwa leo jijini Dodoma na Waziri wa Katiba […]
Wizara ya Katiba na Sheria yazindua Kituo cha Huduma kwa wateja leo Read More »