Serikali yampongeza Dk Rweikiza kwa uwekezaji sekta ya elimu
Serikali imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa ambao ameufanya kwenye sekta ya elimu. Pia imeipongeza shule hiyo kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka katika mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Beatrice […]
Serikali yampongeza Dk Rweikiza kwa uwekezaji sekta ya elimu Read More »










