Admin

NMB Yatangaza Uwepo Rasmi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – SabaSaba

Dar es Salaam. Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kupitia banda lake maalum, NMB inawakaribisha wananchi, wajasiriamali, pamoja na familia kwa ujumla kupata huduma kamili za kibenki pamoja na elimu ya fedha […]

NMB Yatangaza Uwepo Rasmi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – SabaSaba Read More »

FUNGUO Announces Over TZS 2.5 billion in Funding Opportunities for Tanzanian Startups and Green Enterprises

The FUNGUO Innovation Programme, a flagship initiative co-funded by the European Union, the Republic of Finland, and the British Government (FCDO), and implemented by UNDP Tanzania, has officially launched announced two exciting funding opportunities aimed at unlocking the potential of Tanzanian entrepreneurs and catalyzing sustainable growth across key sectors. Speaking at the media briefing, Karina

FUNGUO Announces Over TZS 2.5 billion in Funding Opportunities for Tanzanian Startups and Green Enterprises Read More »

FUNGUO yatangaza fursa ufadhili wa zaidi ya Sh.bil 2.5 kwa Wajasiriamali wa Tanzania na biashara endelevu kwa mazingira

Mradi wa Ubunifu wa FUNGUO, ambao ni mradi wa kimkakati unaofadhiliwa kwa pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), Jamhuri ya Finland, na Serikali ya Uingereza (FCDO), na kutekelezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania), umetangaza rasmi uzinduzi wa fursa mbili muhimu za ufadhili zenye lengo la kuibua uwezo wa wajasiriamali wa

FUNGUO yatangaza fursa ufadhili wa zaidi ya Sh.bil 2.5 kwa Wajasiriamali wa Tanzania na biashara endelevu kwa mazingira Read More »

NACTVET yatoa darasa kwa Maafisa Udahili na Mitihani Vyuo Vikuu

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limeandaa semina maalum kwa Maafisa Udahili na Mitihani kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ubora wa elimu na usimamizi madhubuti wa taratibu, kanuni, sheria na miongozo inayosimamia udahili na mitihani kwa ngazi ya Astashahada na Stashahada.

NACTVET yatoa darasa kwa Maafisa Udahili na Mitihani Vyuo Vikuu Read More »

YAS partners with Watu Tanzania to expand Smartphone Access Across the Country

📌New partnership introduces flexible phone financing across 63 YAS stores, empowering more Tanzanians with digital connectivity. Dar es Salaam, Tanzania – 27th June 2025 — YAS, Tanzania’s leading digital lifestyle and telecommunications company, has entered into a strategic partnership with Watu Tanzania to make smartphones more accessible and affordable for everyday Tanzanians through flexible phone

YAS partners with Watu Tanzania to expand Smartphone Access Across the Country Read More »

Amref Tanzania yaungana na wadau mapambano dhidi ya dawa za kulevya Dodoma

Dodoma, Juni 27, 2025 – Amref Health Africa – Tanzania, kupitia ufadhili wa Serikali ya Marekani chini ya mpango wa PEPFAR kupitia Kituo cha Serikali ya Marekani cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC Tanzania), imeungana na Serikali ya Tanzania na wadau mbalimbali katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya,

Amref Tanzania yaungana na wadau mapambano dhidi ya dawa za kulevya Dodoma Read More »

Amref Tanzania joins the National Commemoration against drug abuse in Dodoma

Dodoma, June 27, 2025 – Amref Health Africa- Tanzania, with support from U.S. Government through PEPFAR and CDC Tanzania, joined the Government of Tanzania and partners in commemorating the International Day Against Drug Abuse and Illicit Trafficking, marked nationally at the Jakaya Kikwete Convention Centre in Dodoma. Under the theme “Invest in Prevention and Treatment

Amref Tanzania joins the National Commemoration against drug abuse in Dodoma Read More »

Suluhisho za kisasa za SICPA zinaongeza imani ya wateja na uadilifu wa soko

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Zanzibar (ZBS), limepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 72 na Vikao vya Baraza la Shirika la Kanda la Viwango Afrika (ARSO), visiwani Zanzibar vilivyoanza Juni 23 hadi 28 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Alfred Mapunda, Mkurugenzi Mkuu wa SICPA Tanzania, imesema kuwa

Suluhisho za kisasa za SICPA zinaongeza imani ya wateja na uadilifu wa soko Read More »

CCM Kilombero yaipa kongole REA usambazaji umeme vijijini, vitongojini

Halmashauri Kuu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro imeipongeza Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kufikisha umeme katika Vijijini vyote 110 vya Wilaya hiyo pamoja na Vitongoji 283 kati ya 458. Pongezi hizo zimetolewa jana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilombero, Mohamed Msuya wakati

CCM Kilombero yaipa kongole REA usambazaji umeme vijijini, vitongojini Read More »