Admin

Serikali yampongeza Dk Rweikiza kwa uwekezaji sekta ya elimu

Serikali imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa ambao ameufanya kwenye sekta ya elimu. Pia imeipongeza shule hiyo kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka katika mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Beatrice […]

Serikali yampongeza Dk Rweikiza kwa uwekezaji sekta ya elimu Read More »

Ifikapo 2034 asilimia 80 ya wananchi kutumia nishati safi ya kupikia

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Shamimu Mwariko amesema kwa jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024-2034) ni dhahiri kwamba lengo la asilimia 80 ya wananchi kutumia nishati hiyo litafikiwa ifikapo Mwaka 2034. Amesema hayo Agosti 15, 2025

Ifikapo 2034 asilimia 80 ya wananchi kutumia nishati safi ya kupikia Read More »

Waandishi wa habari watakiwa kudumisha maadili kuelekea Uchaguzi Mkuu

Waandishi wa habari nchini wametakiwa kuzingatia misingi, maadili na miiko ya taaluma hususan kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, ili kutoa taarifa sahihi na zisizoegemea upande wowote kwa ustawi wa jamii na Taifa. Wito huo umetolewa Agosti 14, 2025 jijini Dar es Salaam katika mafunzo ya siku moja ya Uandishi wa Habari za Uchaguzi

Waandishi wa habari watakiwa kudumisha maadili kuelekea Uchaguzi Mkuu Read More »

Treasury Registrar: Government is ready to match Airtel’s commitment to Support Tanzania’s Development Agenda

Dar es Salaam, Tanzania, – The Treasury Register has reaffirmed the government’s commitment to enhancing the business environment, promising to collaborate with Airtel in advancing the country’s digital transformation journey and attainment of the development vision 2050. Speaking to journalists after meeting Group Chairman and CEO, Sunil Bharti Mittal and Airtel Tanzania’s Managing Director, Charles

Treasury Registrar: Government is ready to match Airtel’s commitment to Support Tanzania’s Development Agenda Read More »