Admin

Bunge laridhia marekebisho ya mpaka wa Hifadhi ya Taifa Nyerere

Bunge limeridhia ombi la Serikali la kumega sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kwa lengo la kutatua migogoro ya mipaka na kuwezesha shughuli za maendeleo kuendelea katika mazingira rafiki kwa jamii na uhifadhi. Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana, akiwasilisha azimio hilo bungeni, amesema kuwa Serikali imeamua kumega eneo lenye ukubwa […]

Bunge laridhia marekebisho ya mpaka wa Hifadhi ya Taifa Nyerere Read More »

Rais Samia ameweka alama kwa watumishi wa Magereza Arusha, awagawia mitungi 528

📌Nishati safi ya kupikia ni endelevu 📌Yaelezwa ni salama na mkombozi wa mazingira Rais  Samia Suluhu Hassan ameacha  alama mkoani Arusha kwa kugawa mitungi ya gesi 528 na majiko yake kwa watumishi wa jeshi la magereza mkoani ili kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama nchini.  Hayo yamebainishwa leo Juni 25, 2025 na Mwenyekiti wa

Rais Samia ameweka alama kwa watumishi wa Magereza Arusha, awagawia mitungi 528 Read More »

Kilombero Sugar backs Morogoro Hospital at 80th Anniversary

Morogoro, 25 June 2025. Kilombero Sugar has proudly joined hands with Morogoro Regional Referral Hospital in celebrating its 80th anniversary by donating construction materials to support the hospital’s infrastructure improvement efforts. In a ceremony held at the hospital’s Outpatient Department (OPD) grounds, Kilombero Sugar officially handed over 1,200 litres of paint to the hospital. The

Kilombero Sugar backs Morogoro Hospital at 80th Anniversary Read More »

Serikali yazidi kuhamasisha Nishati Safi, yatoa mitungi 225 kwa watumishi Gereza Kuu Maweni

📌Shilingi bilioni 35 kupeleka nishati safi magereza yote nchini 📌Mitungi ya gesi 653 kupatiwa watumishi magereza Tanga 📌Mha. Saidy asisitiza uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuwezesha, kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa watumishi wa magereza na wananchi ili

Serikali yazidi kuhamasisha Nishati Safi, yatoa mitungi 225 kwa watumishi Gereza Kuu Maweni Read More »

Kapinga: Sekta ya Nishati yachangia asilimia 14.4 ya Pato la Taifa 

📌Kapinga ampongeza Rais, Dk.  Samia kwa uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Nishati 📌 Aeleza mafanikio yaliyofikiwa katika Umeme, Gesi Asilia na Mafuta 📌 Asisitiza kuwa Nishati ni moyo wa uchumi Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi

Kapinga: Sekta ya Nishati yachangia asilimia 14.4 ya Pato la Taifa  Read More »

Mixx by Yas yashirikiana na EACLC na Honora Tanzania kuimarisha biashara za kidigitali Ubungo

Dar es Salaam. Kampuni ya Honora Tanzania kupitia huduma yake ya Mixx by Yas imetia saini makubaliano ya kimkakati na Kampuni ya EACLC pamoja na Honora Tanzania Mobile Solutions Limited, katika hafla maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Makubaliano hayo yanaashiria hatua kubwa katika maendeleo ya biashara, teknolojia ya kifedha na huduma za kijamii

Mixx by Yas yashirikiana na EACLC na Honora Tanzania kuimarisha biashara za kidigitali Ubungo Read More »