Admin

JKU Princess kujipanga kwa CECAFA

JKU Princess ya Zanzibar itaanza kambi Jumatatu kujiandaa na Ligi ya Mabingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) itakayofanyika Septemba 4–12 jijini Nairobi. Timu itapiga kambi Dar es Salaam au Dodoma kwa ushirikiano na Fountain Gate, ili kupata mechi za kirafiki zenye ushindani. Katibu Shazil Khatibu amesema wataongeza wachezaji wapya ili kuimarisha kikosi na kuweka historia […]

JKU Princess kujipanga kwa CECAFA Read More »

NMB yadhamini kongamano la NGOs, yabainisha mchango wa sekta ya fedha

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki kikamilifu Kongamano la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) 2025, lililofanyika Agosti 13 jijini Dodoma, likiwa na lengo la kutathmini na kuenzi mchango wa mashirika hayo katika maendeleo ya Taifa kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Kongamano hilo limehitimishwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,

NMB yadhamini kongamano la NGOs, yabainisha mchango wa sekta ya fedha Read More »

Rais Samia atambulika kinara huduma ya maji kwa tuzo ya juu ya kimataifa

Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Rais ya Kimataifa ya Wabunifu wa Mabadiliko katika Sekta ya Maji 2025 (Presidential Global Water Changemakers Award 2025), heshima kubwa inayotolewa na taasisi ya maji duniani, ( Global Water Partnership) kwa it ushirikiano na Umoja wa Afrika. Tuzo hiyo imetolewa rasmi na Rais Duma Boko wa Jamhuri ya

Rais Samia atambulika kinara huduma ya maji kwa tuzo ya juu ya kimataifa Read More »

Wananchi wa Mapili wamshukuru Rais Samia kwa mradi wa umeme wa REA

Wananchi wa Kijiji cha Mapili, Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwawezesha kuboresha maisha yao kupitia mradi wa umeme uliotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Shukrani hizo zilitolewa Agosti 11, 2025, wakati wa kampeni maalum ya uhamasishaji wa matumizi ya umeme

Wananchi wa Mapili wamshukuru Rais Samia kwa mradi wa umeme wa REA Read More »

Lissu: Tunang’ang’ania Live Streaming ili dunia ione kinachoendelea

Mbunge wa zamani wa Singida Mashariki na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kuwa upande wa utetezi unasistiza kuendelea kwa matangazo ya moja kwa moja (live streaming) ya mwenendo wa kesi ili umma na dunia kwa ujumla waone kinachoendelea mahakamani. “Mnachoruhusiwa kuficha ni kile alichokisema Jaji na si vingine. Wanataka kusogeza bahasha, kuingiza mambo ambayo hayapo

Lissu: Tunang’ang’ania Live Streaming ili dunia ione kinachoendelea Read More »

Airtel, Vodacom sign network infrastructure agreement to drive digital inclusion

Johannesburg, August 12, 2025: Airtel Africa and Vodacom Group have announced a strategic infrastructure sharing agreement in key markets including Mozambique, Tanzania and the Democratic Republic of Congo (DRC), subject to regulatory approvals in the various countries. The agreement marks a transformative milestone in promoting digital inclusion and expanding access to reliable connectivity across Africa.

Airtel, Vodacom sign network infrastructure agreement to drive digital inclusion Read More »

Mluya wa DP akishinda urais kufuta Kikokotoo,kuboresha maslahi ya watumishi

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama Cha Siasa cha Democratic Party (DP),Abdul Mluya,amesema endapo atapewa ridhaa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kugombea nafasi hiyo,moja ya kipaumbele chao ni kwenda kusimamia suala la Kikokotoo. Mluya ambaye aliambatana na mgombea mwenza Saodun Abraham Khatibu amesema hayo mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo

Mluya wa DP akishinda urais kufuta Kikokotoo,kuboresha maslahi ya watumishi Read More »