Waziri Chana ataka maboresho kimkakati Sekta ya Nyuki nchini
• Aagiza kujengwa kwa vituo vya kupima ubora wa asali nchi nzima. • Aelekeza kufanyika kwa tathmini ya maslah ya watumishi wa kada nyuki nchini Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Dk. Pindi Chana ameelekeza kujengwa kwa maabara za kupima ubora wa asali nchi nzima sambamba na kufanya tathmini muundo wa kada ya ufugaji nyuki kwa […]
Waziri Chana ataka maboresho kimkakati Sekta ya Nyuki nchini Read More »