Admin

Ridhiwani Kikwete: Nidhamu na maadili kazini ni msingi wa mfanisi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, amewataka waajiri na waajiriwa kuhakikisha wanazingatia nidhamu, maadili na utawala bora katika maeneo ya kazi ili kuweka uwiano mzuri kati ya wafanyakazi na viongozi wao. Amesema nidhamu kazini, maadili na utumishi uliotukuka ni mambo ya msingi ambayo viongozi na wakuu […]

Ridhiwani Kikwete: Nidhamu na maadili kazini ni msingi wa mfanisi Read More »

SMZ yaipongeza NMB kwa kudhamini, kushiriki Kongamano la Uwekezaji Z’bar

NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia Mamlaka yake ya Uwekezaji (ZIPA), imeishukuru, kuipongeza kuitunukia Cheti Maalum Benki ya NMB kwa ‘kulibeba mabegani’ kwa udhamini mnono na ushiriki wa Kongamano la Uwekezaji Zanzibar 2025, lililofungwa na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi. Kongamano la Uwekezaji Zanzibar (ZIS), limefanyika kwa siku

SMZ yaipongeza NMB kwa kudhamini, kushiriki Kongamano la Uwekezaji Z’bar Read More »

Majaliwa ataka uwekezaji katika tafiti zenye tija kwa wananchi

▪️Ataka matokeo ya tafiti hizo yatumike badala ya kuyafungia ▪️Awataka wadau wa Sekta ya Afya kuongeza uwekezaji katika vifaa tiba na teknolojia mpya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa Sera kuwekeza katika tafiti zenye tija kwa wananchi.  Amesema kufanya hivyo, kutawezesha kuwa na matokeo ambayo yatatumika kutengeneza sera na mipango ya utekelezaji

Majaliwa ataka uwekezaji katika tafiti zenye tija kwa wananchi Read More »

EWURA yazitaka taasisi kuweka mikataba ya huduma mtandaoni

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Dk. James Andilile, amesema taasisi zote zinazodhibitiwa na mamlaka hiyo za huduma za maji, umeme, gesi asilia na mafuta, zinatakiwa kuweka mikataba ya huduma kwa wateja kwenye tovuti zao rasmi ili kuongeza uwazi, ufuatiliaji na uwajibikaji. Dk. Andilile akizungumza kwenye maadhimisho ya Wiki ya

EWURA yazitaka taasisi kuweka mikataba ya huduma mtandaoni Read More »

Airtel Africa Unveils 2025 Sustainability Report, Boosts ESG and Inclusion Efforts

London, 17 June 2025: Airtel Africa, a leading provider of telecommunications and mobile money services across 14 African countries, today publishes its Sustainability Report 2025, reaffirming its corporate purpose of transforming lives by expanding access to essential digital services, supporting inclusive economic growth, and advancing environmental stewardship throughout its operations.  In 2024/25, Airtel Africa made significant

Airtel Africa Unveils 2025 Sustainability Report, Boosts ESG and Inclusion Efforts Read More »

Maasai Leaders Challenge Discriminatory Norms to Champion Gender Equality and Women’s Leadership

Despite deeply entrenched gender norms and attitudes, Muriet ward in Arusha is witnessing a growing movement of women stepping forward to raise their voices, contest leadership roles, and shape the decisions that affect their lives. Alongside them, men are emerging as strong allies, championing equal opportunities for women to claim their rightful space to lead,

Maasai Leaders Challenge Discriminatory Norms to Champion Gender Equality and Women’s Leadership Read More »

Waziri Simbachawene avutiwa na huduma za NMB Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

Dodoma, Tanzania Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, ametembelea banda la Benki ya NMB katika ufunguzi rasmi wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kufanyika Jijini Dodoma. Katika ziara hiyo, Mhe. Simbachawene alipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Biashara ya Serikali wa

Waziri Simbachawene avutiwa na huduma za NMB Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Read More »

Waziri Mavunde ataka Watanzania kupewa kipaumbele kusambaza bidhaa na huduma migodini

▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa Kampuni za Kigeni ▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bidhaa na utoaji huduma ▪️Rais Samia apongezwa kwa uongozi wa maono ▪️Watanzania 19,371 wanufaika na ajira rasmi ▪️Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara kwa ukuaji wa sekta Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Tume ya Madini kuwapa

Waziri Mavunde ataka Watanzania kupewa kipaumbele kusambaza bidhaa na huduma migodini Read More »

CBE yaandaa kongamano kuwakwamua vijana na tatizo la ajira

Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeandaa kongamano la kuimarisha fursa za ajira na maendeleo endelevu linalolenga kuwawezesha vijana kujiajiri. Hayo yamesemwa  jijini Dar es salaam na Mkuu wa chuo hicho, Prof Edda Lwoga, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kongamano hilo litakalofanyika Alhamisi chuoni hapo.  Amesema mgeni rasmi katika Kongamano hilo anatarajiwa kuwa

CBE yaandaa kongamano kuwakwamua vijana na tatizo la ajira Read More »