Benki ya Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti mwaka 2025
Benki ya Exim Tanzania imeanza mwaka kwa mafanikio makubwa, baada ya kuhitimisha robo ya kwanza ya mwaka 2025 kwa matokeo chanya yanayoonesha kasi ya ukuaji, ufanisi wa utendaji na jitihada madhubuti zinazolenga ubunifu na ujumuishaji wa huduma za kifedha kwa wote. Kwa kipindi kilichoishia Machi 2025, benki ya Exim imetoa takwimu thabiti za kifedha ambazo […]
Benki ya Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti mwaka 2025 Read More »