Biashara

NMB yadhamini kongamano la NGOs, yabainisha mchango wa sekta ya fedha

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki kikamilifu Kongamano la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) 2025, lililofanyika Agosti 13 jijini Dodoma, likiwa na lengo la kutathmini na kuenzi mchango wa mashirika hayo katika maendeleo ya Taifa kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Kongamano hilo limehitimishwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, […]

NMB yadhamini kongamano la NGOs, yabainisha mchango wa sekta ya fedha Read More »

TCB, FSDT kushirikiana kukuza vikoba kidijitali

Benki ya Biashara ya Tanzania (TCB) na Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha Tanzania (FSDT) wameingia makubaliano ya kuendeleza matumizi ya huduma za kifedha za kidijitali kwa wanawake na vijana kupitia vikoba vinavyoendeshwa kijamii. Ushirikiano huo unalenga kuongeza ujumuishwaji wa kifedha na kubuni majukwaa yatakayobadilisha maisha ya wananchi. Hadi Julai 2025, zaidi ya vikoba 670,000

TCB, FSDT kushirikiana kukuza vikoba kidijitali Read More »

NMB yaendeleza kuimarisha uhusiano wa kibiashara Zanzibar

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano na wateja wake visiwani Zanzibar kupitia mikutano ya ana kwa ana na wateja wakubwa, sambamba na kutoa elimu kuhusu masuluhisho mbalimbali inayoyatoa kwa wafanyabiashara. Ujumbe wa benki hiyo, ukiongozwa na Meneja Biashara wa NMB Zanzibar, Bi. Naima Said Shaame, akiwa ameambatana na Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara, Dickson

NMB yaendeleza kuimarisha uhusiano wa kibiashara Zanzibar Read More »

Kampuni ya Sukari ya Kilombero yawataka wasambazaji wa sukari kutumia fursa za upanuzi wa Kiwanda cha K4

Kampuni ya Sukari ya Kilombero, kupitia chapa yake maarufu ya bidhaa Bwana Sukari, imewataka wasambazaji na washirika wa kibiashara kuchangamkia fursa zinazotokana na Mradi wa Upanuzi wa K4, ambao uko katika hatua za mwisho kabla ya kuanza kazi rasmi. Akizungumza kwenye maonesho hayo, Fimbo Butallah, Mkurugenzi wa Biashara na Ugavi wa Kampuni ya Sukari ya

Kampuni ya Sukari ya Kilombero yawataka wasambazaji wa sukari kutumia fursa za upanuzi wa Kiwanda cha K4 Read More »

TVLA yagusa mioyo ya wafugaji maonesho ya Nanenane

Na Daudi Nyingo, Dodoma Katika kuadhimisha Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Nzuguni, mkoani Dodoma, Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) umeendelea kugusa mioyo ya Wafugaji kwa kutoa huduma na elimu inayolenga kuboresha afya ya mifugo nchini. Akizungumza Leo Agosti 07, 2025  katika banda la TVLA, Meneja wa Kituo cha TVLA

TVLA yagusa mioyo ya wafugaji maonesho ya Nanenane Read More »

TADB yawa mkombozi kwa wakulima, wavuvi na wafugaji Visiwani Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Upatikanaji wa huduma za Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) visiwani Zanzibar umefungua fursa mpya za kiuchumi kwa wakulima, wafugaji na wavuvi. Kupitia mikopo nafuu, elimu ya kifedha na uhusiano wa moja kwa moja na masoko ya uhakika, TADB imeibuka kama mkombozi wa kweli kwa wananchi wanaojihusisha na uzalishaji wa

TADB yawa mkombozi kwa wakulima, wavuvi na wafugaji Visiwani Zanzibar Read More »

Kilombero Sugar yatoa wito Wakulima wa Miwa kuchangamkia fursa mradi upanuzi Kiwanda cha K4 

Kampuni ya Sukari Kilombero imetoa wito kwa wakulima wa miwa wa Bonde la Kilombero kuchangamkia fursa zinazotokana na Mradi wa Upanuzi wa K4, ambao sasa uko katika hatua za mwisho kabla ya kuanza rasmi. Wito huu umetolewa wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yaliyofanyika mkoani Morogoro, ambapo Kilombero Sugar imeshiriki kimkakati kuonyesha maendeleo

Kilombero Sugar yatoa wito Wakulima wa Miwa kuchangamkia fursa mradi upanuzi Kiwanda cha K4  Read More »

Waziri Chana ahimiza Watanzania kutembelea Maonesho ya Nanenane 2025

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi  Chana amewahimiza Watanzania kutumia fursa ya maonesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi Nanenane 2025 ili kujifunza mbinu mbalimbali za uzalishaji wa mazao kwa maslahi mapana ya jamii na taifa kwa ujumla. Waziri Chana amesema hayo leo 4 Agosti, 2025 kwenye viwanja vya  Nanenane  Nzuguni jijini Dodoma ambapo

Waziri Chana ahimiza Watanzania kutembelea Maonesho ya Nanenane 2025 Read More »

Yas kutoa huduma kituo cha Biashara, Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC)

Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imetangazwa kuwa mtoa huduma rasmi wa mawasiliano na teknolojia ya kisasa katika Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo, jijini Dar es Salaam. Kupitia huduma zake za Yas na Mixx by Yas, kampuni hiyo itahudumia wafanyabiashara wote katika kituo hicho, ambacho kilifunguliwa rasmi na Rais wa

Yas kutoa huduma kituo cha Biashara, Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) Read More »