Biashara

Benki ya Equity Tanzania yasaini mkataba wa kuwawezesha wanawake kiuchumi

Benki ya Equity Tanzania jana tarehe 5 Novemba 2024, imesaini mkataba na Taasisi ya ADC Tanzania, washauri wabobezi wa biashara, kuashiria kuanza kwa utekelezaji wa mradi maalum wa kuwawezesha wanawake kiuchumi. Mradi huu unafanyika kwa ushirikiano na Taasisi ya Maendeleo ya Kimataifa ya African Guarantee Fund/AFAWA. Lengo kuu la mradi huu ni kuwajengea wanawake uwezo

Benki ya Equity Tanzania yasaini mkataba wa kuwawezesha wanawake kiuchumi Read More »

Kapinga: Serikali mbioni kuja na mradi kuimarisha upatikanaji umeme vitongojini

📌  Kuhusisha transfoma za kVA50, 100 na 200 📌 Vitongoji ambavyo havijapata umeme kufikiwa Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inatarajia kuanza mradi mpya wa upelekaji umeme  vitongojini utakaohusisha ujenzi wa njia za kati na ndogo za kusafirisha umeme.  Kapinga ameyasema hayo leo Oktoba 31, 2024 bungeni jijini Dodoma  wakati akijibu swali la

Kapinga: Serikali mbioni kuja na mradi kuimarisha upatikanaji umeme vitongojini Read More »

Bwana Sukari yazindua rasmi Sukari ya Vifungashio Kanda ya Ziwa

Katika hatua ya kihistoria kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa, chapa inayoongoza ya sukari nchini Tanzania, Bwana Sukari, chini ya kampuni ya Kilombero Sugar Company, imezindua rasmi sukari yake yenye vifungashio jijini Mwanza. Uzinduzi huu unalenga kuleta unafuu wa bei, usafi, afya ya mlaji, na urahisi wa upatikanaji wa bidhaa hiyo, ikilinganishwa na sukari ya

Bwana Sukari yazindua rasmi Sukari ya Vifungashio Kanda ya Ziwa Read More »

Meya Temeke awaonya boda boda mikopo ya kausha damu

Benki ya Biashara ya DCB imezindua mikopo ya boda boda na bajaji yenye masharti nafuu, ikiwa na lengo la kuwaondolea adha na usumbufu vijana wanaojishughulisha na biashara ya usafiri wa boda boda wanayoipata kutoka baadhi ya watu wanaotoa mikopo yenye masharti magumu maarufu kama ‘mikopo umiza ama kausha damu’. Akizungumza katika hafla hiyo, Mbagala, Temeke,

Meya Temeke awaonya boda boda mikopo ya kausha damu Read More »

“Machinga Complex ni mkombozi kwa wafanyabiashara wadogo Dodoma”- Mavunde

Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amesema uwapo wa soko la Machinga Complex jijini Dodoma limesaidia wafanyabiashara wadogo kufanya biashara zao kwa utulivu na kuwahamasisha kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa na halmashauri. Aidha, amewataka mgambo wa Jiji hilo  kuacha kutumia mabavu makubwa wanaposhughulika na wafanyabiashara wadogo ili biashara zao ziwe na tija. Akizungumza kwenye mkutano

“Machinga Complex ni mkombozi kwa wafanyabiashara wadogo Dodoma”- Mavunde Read More »

TBL, Stanbic waanzisha ushirikiano kukuza wafanyabishara wa ndani kupitia GRIT na RISE

Tanzania Breweries Limited (TBL) na Benki ya Stanbic Tanzania wamesaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) ili kuwawezesha wafanyabiashara na wasambazaji wa kitanzania kupitia programu za GRIT (Growing Retailers Innovatively Together) na RISE (Resilient, Inclusive, Sustainable Enterprises). Ushirikiano huu wa kimkakati, unalenga kukuza biashara za ndani, utatoa mafunzo ya kina ya kibiashara, msaada wa kifedha, na ushauri

TBL, Stanbic waanzisha ushirikiano kukuza wafanyabishara wa ndani kupitia GRIT na RISE Read More »