Dk. Mpango aipongeza CTI tuzo za PMAYA
MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda (CTI) kwa kuratibu vyema tuzo za wenye viwanda tangu kuanzishwa kwake. Ametoa pongezi hizo leo jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka Viwandani zinazoratibiwa na CTI), President Manufacturer of the Year Award (PMAYA). Katika tuzo hizo […]
Dk. Mpango aipongeza CTI tuzo za PMAYA Read More »