Shirika la Ndege la Afrika Kusini laanza safari Johannesburg na Dar
Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) limezindua rasmi safari zake za kila siku kati ya Johannesburg, Afrika Kusini, na Dar es Salaam, Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya mataifa haya mawili yenye ushawishi mkubwa barani Afrika. Katika hafla ya uzinduzi, Mkurugenzi Mtendaji wa muda wa SAA, Profesa John Lamola, […]
Shirika la Ndege la Afrika Kusini laanza safari Johannesburg na Dar Read More »