JiBoost ya Airtel Money kutoa bonasi ya shilingi 20,000 kwa wateja wake
Katika jitihada endelevu za kuboresha huduma za mawasiliano kwa wateja wetu nchini, Airtel Tanzania imezindua promosheni mpya ya ‘JiBoost na Airtel Money’ ambayo inawapa nafasi watumiaji wa Airtel Money kujipatia shilingi 20,000 taslimu ya supa bonasi kupitia miamala ya kila siku watakayofanya. Mpango huo ni sehemu ya maono ya kampuni ya Airtel kupanua huduma ya […]
JiBoost ya Airtel Money kutoa bonasi ya shilingi 20,000 kwa wateja wake Read More »