WMA yahimiza ushirikiano na sekta binafsi
OFISA Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla, ametoa wito kwa taasisi, asasi na mashirika binafsi kuimarisha ushirikiano na wakala hiyo katika masuala yanayohusu vipimo kwa nyanja za biashara, afya, usalama na mazingira. Kihulla alitoa wito huo juzi alipokuwa akizungumza na wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari katika mkutano ulioandaliwa na […]
WMA yahimiza ushirikiano na sekta binafsi Read More »