Biashara

Kamati ya Bunge yaridhishwa utendaji kazi Wizara ya Nishati,yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi 

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa kwake na majukumu yanayotekelezwa na Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake katika kuiimarisha Sekta ya Nishati nchini. Pongezi hizo zimetolewa baada ya Wizara ya Nishati kupitia Taasisi zake za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Kampuni Tanzu ya TANESCO ya Ujenzi na […]

Kamati ya Bunge yaridhishwa utendaji kazi Wizara ya Nishati,yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi  Read More »

Profesa Mkumbo asema uwekezaji Bandari ya Dar umeanza kulipa

WAZIRI wa Nchi  Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji),  Profesa Kitila Mkumbo, amepongeza uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa na kampuni ya kimataifa ya uwekezaji ya DP World katika bandari ya Dar Es Salaam. Amesema serikali itaendelea kuboresho zaidi bandari hiyo katika maeneo mbalimbali ikiwemo makusanyo ya kodi kupitia Dira ya Taifa ya miaka 25 ijayo (2050).

Profesa Mkumbo asema uwekezaji Bandari ya Dar umeanza kulipa Read More »

Waziri Mavunde azindua magari 25 ya maofisa madini wakazi mikoa

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amezindua magari mapya 25 kwa ajili ya kusambazwa kwenye Ofisi za Maofisa Madini Wakazi wa Mikoa na kuwataka kuhakikisha yanatumika kwa malengo yaliyokusudiwa. Akizungumza kwenye  uzinduzi huo,  Waziri Mavunde amesema magari hayo ni sehemu ya magari 89 na pikipiki 140 yaliyopangwa kununuliwa kama sehemu ya uboreshaji wa  usimamizi wa sekta

Waziri Mavunde azindua magari 25 ya maofisa madini wakazi mikoa Read More »

Akiba Commercial Bank Plc yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja

Benki ya Akiba Commercial Plc imewashukuru wateja wake kuungana nao katika safari hii ya kutoa huduma bora zaidi za kibenki ambazo zinachangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania. Shukrani hizo zimetolewa leo Oktoba 9,2024 Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Akiba Commercial, Silvest Arumasi katika Maadhimisho ya Wiki ya huduma kwa

Akiba Commercial Bank Plc yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Read More »

DC Bulembo aipongeza Puma Energy kurahisisha upatikanaji huduma za nishati kwa wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo ameipongeza Puma Energy Tanzania kwa jitihada zake za kuendelea kurahisisha upatikanaji wa huduma na bidhaa za nishati kwa Watanzania kwenye maeneo mbalimbali nchini. Aliyasema hayo wakati aliposhiriki katika uzinduzi rasmi wa kituo kipya cha mafuta na huduma za ziada cha kampuni hiyo katika eneo la Dege Mtaa, Kata

DC Bulembo aipongeza Puma Energy kurahisisha upatikanaji huduma za nishati kwa wananchi Read More »

Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme kimefikia asilimia 50 – Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme nchini ambapo inatekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha kupokea umeme cha Tunduru ambacho utekelezaji wake umefikia asilimia 50. Rais Samia ameyasema hayo leo Septemba 28, 2024 wakati akihitimisha ziara yake mkoani Ruvuma iliyokuwa na lengo

Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme kimefikia asilimia 50 – Rais Samia Read More »