Biashara

“Rais Samia yupo ‘serious’ na kilimo”- RC Macha

Macha amebainisha hayo leo Septemba 13,2024 wakati akifungua kikao cha kamati ya ushauri mkoa wa Shinyanga (RCC). Amesema Rais Samia kwenye utawala wake amefanya mambo makubwa katika sekta mbalimbali, na kwamba kwenye masuala ya kilimo amekuwa “serious” na ametoa vitendea kazi kwa maofisa ugani, ili wawe karibu na wananchi na kuwafikia virahisi na kuwapatia elimu

“Rais Samia yupo ‘serious’ na kilimo”- RC Macha Read More »

Maonesho ya Siku ya Wakulima wa Miwa, fursa kwa wakulima kunufaika na ubunifu 

Wakulima wa miwa wa Bonde la Kilombero wanatarajiwa kunufaika na ubunifu sambamba na teknolojia za kisasa za kilimo zitakazooneshwa kupitia maonesho ya siku ya wakulima wa miwa Kilombero, yatakayofanyika kuanzia tarehe 10 hadi 12 Oktoba 2024. Maonesho hayo ya siku tatu yanaungwa mkono na Kampuni ya Sukari Kilombero, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo; Mfuko

Maonesho ya Siku ya Wakulima wa Miwa, fursa kwa wakulima kunufaika na ubunifu  Read More »

Ado Shaibu- Kiama cha mafisadi kwenye korosho, ufuta na mbaazi Kusini kinakuja

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kinafuatilia kwa karibu na kuchunguza vitendo vya ufisadi katika usambazaji wa pembejeo za kilimo na masoko ya mazao ya korosho, mbaazi na ufuta katika mikoa ya Ruvuma, Tunduru na Ruvuma. “Juzi nilikuwa Tunduru na leo nipo Nanyumbu na Masasi, kilio ni kilekile. Wakulima wanapunjwa pembejeo na kuna wizi mkubwa

Ado Shaibu- Kiama cha mafisadi kwenye korosho, ufuta na mbaazi Kusini kinakuja Read More »

Madini ya dhahabu kilo 15.78 yakamatwa bandarini yakitoroshwa

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ametangaza kukamatwa kwa madini ya dhahabu kilo 15.78 bandarini yalipokuwa yakitoroshwa. Ameyasema hayo leo Septemba,11, 2024 Jijini Dar es Salaam alipokutana na alipozungumza na vyombo vya habari kuuhabarisha umma wa Watanzania juu ya tukio hilo. “Nchi yetu inazo sekta kadhaa za uzalishaji ambazo mapato yake ndiyo msingi wa maendeleo ya

Madini ya dhahabu kilo 15.78 yakamatwa bandarini yakitoroshwa Read More »

REA yaendelea kutekeleza kwa vitendo mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kusaini mikataba yenye thamani ya shilingi bilioni 50.98 kwa ajili ya kuhamasisha umma kuachana na matumizi ya nishati za kupikia zisizo salama ikiwa ni hatua ya utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi za Kupikia. Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Jadidifu na Mbadala kutoka

REA yaendelea kutekeleza kwa vitendo mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Read More »

Coca-Cola yazindua tamasha la chakula

KAMPUNI ya Coca-Cola imezindua tamasha la Chakula lijulikanalo kama ‘Coca-Cola Food Fest’ kwa lengo la kuwaleta pamoja wapishi bora wa vyakula, muziki na burudani. Tamasha hilo lilizinduliwa mwishoni mwa wiki linatarajia kuanza tarehe 9 Septemba hadi 23 Novemba 2024 ambapo pia kutakuwa matamasha yatakayokuwa yakifanyika mitaani katika maeneo tofauti ya Dar es Salaam. Tamasha hili

Coca-Cola yazindua tamasha la chakula Read More »