Biashara

Vodacom Tanzania kuboresha huduma kwa kuunganisha My Vodacom App na M-Pesa Supa App

Vodacom Tanzania inayo furaha kutangaza kuunganishwa kwa My Vodacom App na M-Pesa Supa App, hatua inayolenga kurahisisha na kuboresha zaidi huduma kwa wateja. Kupitia muunganiko huu, wateja wataweza kufurahia huduma zote wanazozipenda za Vodacom kwenye aplikesheni moja, hivyo kuongeza ufanisi na urahisi wa matumizi. Kama sehemu ya mabadiliko haya, My Vodacom App itasitishwa rasmi tarehe […]

Vodacom Tanzania kuboresha huduma kwa kuunganisha My Vodacom App na M-Pesa Supa App Read More »

Filamu ya “Tantalizing Tanzania” yazinduliwa rasmi India

Filamu ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchini Tanzania ijulikanayo kama “Tantalizing Tanzania” inayomhusisha mwanamuziki wa India Shakti Mohan aliyepiga picha mjongeo katika hifadhi za Serengeti, Ngorongoro na Zanzibar  imezinduliwa nchini India. Filamu hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya Swahili iliyopo Mumbai nchini India imezinduliwa rasmi na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk. Pindi Chana

Filamu ya “Tantalizing Tanzania” yazinduliwa rasmi India Read More »

TANAPA yazindua kampeni ya “Shangwe la Sikukuu na TANAPA” Arusha

📌𝑀𝒶𝓂𝒾𝒶 𝓎𝒶 𝓌𝒶𝓀𝒶𝓏𝒾 𝓌𝒶 𝒿𝒾𝒿𝒾 𝓁𝒶 𝒜𝓇𝓊𝓈𝒽𝒶 𝓌𝒶𝒿𝒾𝓉𝑜𝓀𝑒𝓏𝒶 𝓀𝓊𝓈𝒽𝒾𝓇𝒾𝓀𝒾 𝓂𝒶𝓉𝒶𝓂𝒷𝑒𝓏𝒾 𝓎𝒶 𝒰𝓏𝒾𝓃𝒹𝓊𝓏𝒾 𝒽𝓊𝑜. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limezindua rasmi kampeni ya “Shangwe la Sikukuu na TANAPA” leo, Desemba 13, 2024, jijini Arusha. Kampeni hii inalenga kuhamasisha Watanzania na wageni kutoka mataifa mbalimbali kutembelea Hifadhi za Taifa katika msimu wa sikukuu za Krismasi

TANAPA yazindua kampeni ya “Shangwe la Sikukuu na TANAPA” Arusha Read More »

Mnada wa madini ya vito kuzinduliwa rasmi Desemba 14 Mirerani

▪️Waziri Mavunde kuzindua Mnada Rasmi ▪️Lengo ni kuyaongezea thamani ▪️Kudhibiti utoroshaji ▪️Kuuzwa kwa bei ya ushidani WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mnada wa  madini ya  vito  unaotarajiwa kufanyika katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, ili kuyaongezea thamani madini hayo. Mnada huo ambao ulisimama kwa muda, umepangwa kufanyika

Mnada wa madini ya vito kuzinduliwa rasmi Desemba 14 Mirerani Read More »

Kodi kubwa kwa wazalishaji wadogo wa bia kuhatarisha maendeleo ya wakulima

Kutoka kuwa mkulima mdogo anayelima kipande cha ekari moja na nusu, Nana Pissa sasa ni mama mwenye furaha ambaye ameshuhudia watoto wake wote sita wakisoma shule za chaguo lake wakifaulu hadi kufikia ngazi ya chuo kikuu. Nana anakumbuka, wakati wa wimbi la umaskini mwaka 2016, jinsi alivyochaguliwa katika mpango wa kilimo wa Serengeti Breweries Limited

Kodi kubwa kwa wazalishaji wadogo wa bia kuhatarisha maendeleo ya wakulima Read More »

Silinde aitaka TFC kuharakisha usambazaji wa mbolea ya ruzuku

Naibu Waziri wa Kilimo,David Silinde ameiagiza Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC ) kuharakisha usambazaji wa mbolea ya ruzuku kwa wakulima wote nchini kwani tayari msimu wa kilimo umeanza. Akizungumza mara baada ya kutembelea ghala la kuhifadhi mbolea lililopo eneo la Chuo cha Magereza, Ukonga, jijini Dar es Salaam jana Desemba 09, 2024, Silinde amesema ameridhishwa

Silinde aitaka TFC kuharakisha usambazaji wa mbolea ya ruzuku Read More »

Serikali yaahidi kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kutatua changamoto

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema serikali itaendelea kushirikiana na wafanyabiashara na wawekezaji kutatua changamoto mbalimbali zinazokwamisha ustawi na maendeleo ya biashara nchini. Ametoa kauli hiyo ya serikali wakati akifungua kongamano la mwaka la majadiliano ya biashara na uwekezaji kati ya serikali na sekta binafsi lililoandaliwa na Chemba ya Biashara,

Serikali yaahidi kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kutatua changamoto Read More »

Mbibo apongeza mwenendo mzuri ukusanyaji maduhuli Tanga

📌Mauzo ya dhahabu zenye thamani ya billion 5.9, vito Shilingi milioni 132.7 yapita Masoko ya Madini 📌Mkoa waweka mikakati kuongeza makusanyo Mkoa wa Kimadini Tanga umepongezwa kwa mwenendo mzuri wa ukusanyaji maduhuli ya serikali yanayotokana na shughuli za Madini ambapo hadi kufikia Novemba 30, 2024 ulikusanya jumla ya shilingi bilioni 3.8 sawa na asilimia 120.9

Mbibo apongeza mwenendo mzuri ukusanyaji maduhuli Tanga Read More »