Benki ya NMB yanyakua tuzo zaidi ya 30 za ubora na umahiri mwaka 2024
Benki ya NMB imedhihirisha tena ukubwa wake nchini, baada ya mwaka huu kuweka rekodi kwa kutwaa zaidi ya tuzo 30 zinazotambua ubora wa huduma zake, ubunifu, ufanisi katika uendeshaji na utendaji, pamoja na mchango wake mkubwa katika ujenzi wa taifa. Mafanikio hayo ya kipekee kitasnia na makubwa kitaifa na kimataifa yalibainishwa jana jijini Mwanza na […]
Benki ya NMB yanyakua tuzo zaidi ya 30 za ubora na umahiri mwaka 2024 Read More »