Biashara

Benki ya NBC, ZSSF wasaini makubaliano ya mauzo ya nyumba za gharama nafuu Zanzibar 

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji (MoU) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yanayotoa fursa kwa taasisi hizo mbili kuuza nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na mfuko huo katika makazi ya kisasa yanayofahamika kama Dkt. Hussein Mwinyi yaliyopo eneo la Mombasa kwa Mchina Mwanzo, visiwani Zanzibar. Makubaliano

Benki ya NBC, ZSSF wasaini makubaliano ya mauzo ya nyumba za gharama nafuu Zanzibar  Read More »

Benki ya NBC yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji Sekta ya Utalii, Waziri Chana apongeza

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeshiriki kikamilifu kwenye kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi iliyopo mkoani Morogoro huku ikiahidi kuendelea kubuni huduma mbalimbali za kifedha mahususi kwa wadau sekta ya utalii nchini. Hatua ya benki hiyo inalenga kuunga mkono jitihada za serikali katika kuvutia idadi kubwa ya watalii

Benki ya NBC yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji Sekta ya Utalii, Waziri Chana apongeza Read More »

Maonyesho ya kimataifa ya viwanda kukutanisha waonyeshaji 500 Dar

SHIRIKISHO la Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), wameandaa maonesho ya kimataifa ya wenye viwanda (TIMEXPO 2024) yatakayoshirikisha viwanda 500. Mkurugenzi Mkuu wa CTI, Mhandisi Leodegar Tenga amewaambia waandishi wa habari leo kuwa maonyesho hayo yatafanyika kuanzia Septemba 26 hadi Oktoba 2, katika Viwanja vya Saba Saba jijini

Maonyesho ya kimataifa ya viwanda kukutanisha waonyeshaji 500 Dar Read More »

Benki ya NMB Yaingia Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati na K-FINCO ya Korea Kusini

Benki ya NMB leo imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ya kushirikiana na Shirika la Korea Kusini linalojihusisha na kudhamini miradi katika sekta ya ujenzi la Korea Finance for Construction (K-FINCO). Lengo la makubaliano hayo ni kusaidia kuwawezesha wakandarasi wa Korea Kusini kushiriki kikamilifu katika miradi ya ujenzi nchini Tanzania ambapo NMB itaiwakilisha K-FINCO kwa kutoa

Benki ya NMB Yaingia Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati na K-FINCO ya Korea Kusini Read More »

Bei ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko nchi nyingine za Afrika Mashariki-Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema gharama ya kununua umeme nchini ipo chini ukilinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki. Hii ni kutokana na Serikali kuweka ruzuku kwenye gharama ya mwananchi kununua umeme.  Kapinga amesema hayo leo Agosti 30, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu maswali ya Wabunge ambao walitaka kufahamu iwapo kuanza kwa 

Bei ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko nchi nyingine za Afrika Mashariki-Kapinga Read More »

Benki ya TCB yaahidi kuongezakasi uwekezaji soko la Kimataifa

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kupanua wigo wa uwekezaji nje ya mipaka ya nchi. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya TCB, Adam Mihayo, ameyasema hayo jana wakati akizungumza kwenye kikao kazi cha siku tatu kilichofunguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan na kuwakutanisha wenyeviti wa bodi na watendaji wakuu wa taasisi za

Benki ya TCB yaahidi kuongezakasi uwekezaji soko la Kimataifa Read More »

Serikali inaendelea na majadiliano na kampuni za nishati za kimataifa – Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati,Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa (International Energy Companies – IEC’s) kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi asilia kuwa Kimiminika – LNG na yakikamilika Serikali itaupeleka kwenye hatua inayofuata. Kapinga amesema hayo leo Agosti 29, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa

Serikali inaendelea na majadiliano na kampuni za nishati za kimataifa – Kapinga Read More »

NBC yasisitiza kuchochea ukuaji biashara, uchumi wa buluu Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeelezea dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wafanyabishara wadogo, wa kati na wakubwa kupitia huduma zake mbalimbali za kibenki ili kuchochea ukuaji wa uchumi na mchango wa wadau hao katika kufanikisha agenda ya Uchumi wa Buluu na uwezeshaji wa maendeleo visiwani Zanzibar. Dhamira hiyo imesisitizwa na Meneja wa benki

NBC yasisitiza kuchochea ukuaji biashara, uchumi wa buluu Zanzibar Read More »