NMB yachangia milioni 50 ujenzi shule ya Sekondari ya wavulana Bunge
BENKI ya NMB imekabidhi Hundi ya Shilingi milioni 50 kwa Naibu Waziri Mkuu Dk Dotto Biteko kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Wavulana ya Bunge. Wakati wa Bonanza la Bunge, NMB pamoja na wadau wengine katika viwanja vya shule ya sekondari John Merlin Jijini Dodoma. Naibu Waziri Dk Biteko amepokea Hundi hiyo na kusema […]
NMB yachangia milioni 50 ujenzi shule ya Sekondari ya wavulana Bunge Read More »