Biashara

Serikali ya Marekani yasisitiza nia ya kushiriki kuendeleza Mradi wa Kabanga Nickel na Kampuni ya BHP

Serikali ya Marekani imesisitiza nia ya kushiriki katika kuendeleza Mradi wa Kabanga Nickel na Kampuni ya BHP. Pia imeweka mkazo wa ushiriki wake katika mradi huo wa kimkakati ambao ni kati ya miradi mikubwa na kielelezo katika sekta ya madini nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini Anthony Mavunde ambae amefanya mazungumzo na kampuni ya […]

Serikali ya Marekani yasisitiza nia ya kushiriki kuendeleza Mradi wa Kabanga Nickel na Kampuni ya BHP Read More »