Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme kimefikia asilimia 50 – Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme nchini ambapo inatekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha kupokea umeme cha Tunduru ambacho utekelezaji wake umefikia asilimia 50. Rais Samia ameyasema hayo leo Septemba 28, 2024 wakati akihitimisha ziara yake mkoani Ruvuma iliyokuwa na lengo […]
Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme kimefikia asilimia 50 – Rais Samia Read More »