NeST yawezesha sekta ya manunuzi kuimarika-Simba
MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma(PPRA) imewezesha kusomana kwa mifumo zaidi ya 17 iliyopo nchini kupitia mfumo mpya wa kieletroniki wa NeST kwenye sekta ya ununuzi wa umma. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mkuu wa PPRA ,Denis Simba wakati alipokuwa akiongea na waandishi wa habari juu Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma Afrika […]
NeST yawezesha sekta ya manunuzi kuimarika-Simba Read More »