Bashungwa azigeukia kampuni za ujenzi zinazobabaisha wateja wao
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amezinyoshea kidole baadhi ya Kampuni za Makandarasi Wazawa zinazoshindwa kutekeleza miradi na tenda za ujenzi wanazopewa kwa weledi na mujibu wa mikataba na kuanza kuwazungusha waliowapa kazi ambapo kitendo hicho kinaharibu taswira ya Makampuni ya Makandarasi wengine nchini. Bashungwa ametoa onyo hilo, leo Septemba 04, 2024 jijini Dar es salaam […]
Bashungwa azigeukia kampuni za ujenzi zinazobabaisha wateja wao Read More »