CPA Abdulkarim ataka mabadiliko Kariakoo
Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo CPA Ashiraph Yusufu Abdulkarim amewataka watumishi wa shirika hilo kuhakikisha wanafanya mageuzi katika utendaji kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu, Miongozo pamoja na taaluma zao ili kuleta matokeo chanya katika Shirika hilo. Ametoa wito huo jana Jijini Dar es Salaam katika hafla fupi ya kukabidhiwa Ofisi na aliyekuwa […]
CPA Abdulkarim ataka mabadiliko Kariakoo Read More »