EWURA yatoa wito kwa wananchi kutumia fursa za mradi wa bomba la mafuta kuwekeza vituo vya mafuta vijijini
Mwanza, Agosti 4, 2025 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotokana na utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani, Tanzania, likiwemo suala la kujikwamua kiuchumi, kutumia nishati safi ya kupikia, na kuwekeza katika vituo vya mafuta vijijini. Wito […]