Biashara

Benki ya NMB Yadhamini Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania

Benki ya NMB imeshiriki kikamilifu kama mdhamini wa Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), unaofanyika mjini Songea, mkoani Ruvuma. Mkutano huo muhimu kwa ukuaji wa taaluma ya uandishi wa habari nchini, umehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, kama mgeni rasmi. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa

Benki ya NMB Yadhamini Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania Read More »

Waziri Mavunde azindua rasmi shughuli za uchimbaji madini Porcupine North- Chunya

▪️Ni Leseni Hodhi zilizorudi Serikalini baada ya kumalizika kesi na wawekezaji ▪️Mapato ya Serikali kuongezeka kupitia mrabaha na kodi mbalimbali ▪️ Waziri Mavunde asisitiza kuongeza utafiti zaidi ili kuongeza uzalishaji wa dhahabu ▪️Wachimbaji wadogo nao wapatiwa Leseni kuongeza uzalishaji 📍 Chunya- Mbeya Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezindua rasmi shughuli za uchimbaji madini katika mgodi

Waziri Mavunde azindua rasmi shughuli za uchimbaji madini Porcupine North- Chunya Read More »

NMB yadhamini na kushiriki uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kitaifa uliofanyika katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, mkoani Pwani. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ameuwasha rasmi Mwenge wa Uhuru mbele ya Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, na viongozi wengine

NMB yadhamini na kushiriki uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Read More »

Lipa ChapChap’: Benki ya Exim Yaja na Mapinduzi ya Malipo Kidijitali

Dar es Salaam – Benki ya Exim Tanzania imechukua hatua madhubuti katika kuunda mustakabali wa malipo ya kidijitali kwa kuzindua ‘Lipa ChapChap’, suluhisho la malipo yasiyotumia fedha taslimu linalorahisisha miamala kwa wafanyabiashara na wateja binafsi. Zaidi ya kuwa huduma mpya, Lipa ChapChap ni hatua muhimu katika dhamira ya benki ya kuendeleza ujumuishi wa kifedha, ubunifu,

Lipa ChapChap’: Benki ya Exim Yaja na Mapinduzi ya Malipo Kidijitali Read More »

Benki ya Stanbic yaendesha droo ya pili ya Tap Kibingwa, ikiwazawadia wateja wake kuzingatia malipo ya kidijitali

Benki ya Stanbic imefanikiwa kuendesha droo ya pili ya mwezi ya kampeni yake ya Tap Kibingwa, ambapo washindi watano wamejishindia kiasi cha TZS 500,000 kila mmoja. Kampeni hii inalenga kuchochea matumizi ya Kadi za Visa Debit kwa ajili ya miamala ya kidijitali, ikiendelea kuhamasisha urahisi na usalama wa malipo yasiyo ya pesa taslimu kote nchini

Benki ya Stanbic yaendesha droo ya pili ya Tap Kibingwa, ikiwazawadia wateja wake kuzingatia malipo ya kidijitali Read More »

Dk. Mpango azindua matawi ya NMB

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ametoa wito kwa wananchi kuepuka wakopeshaji binafsi maarufu kama kausha damu ambao hutoza riba kubwa na kunyanyasa wateja kupitia ukamataji wa mali za wadaiwa. Amebainisha kuwa kufunguliwa kwa matawi mapya ya NMB karibu na wananchi kutatoa fursa ya upatikanaji wa huduma za kifedha

Dk. Mpango azindua matawi ya NMB Read More »

Benki Ya Stanbic Yatoa Elimu Ya Fedha Kwa Watoto Wa Wateja

Benki Binafsi ya Stanbic imefanikiwa kuendesha kwa mafanikio Akademi yake maarufu ya Ustawi wa Fedha, mpango unaolenga kukuza uelewa wa masuala ya kifedha kwa familia, hususan watoto. Hafla hii ilifanyika kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 8:00 mchana katika Hoteli ya Usungilo City, Mbeya. Akademi ya Ustawi wa Fedha ilibuniwa mahsusi kuwaandaa watoto na ujuzi

Benki Ya Stanbic Yatoa Elimu Ya Fedha Kwa Watoto Wa Wateja Read More »

Pikipiki mpya za Daima na Everlast kuanza kusambazwa nchi nzima

Wadau wa pikipiki nchini wana kila sababu ya kutabasamu baada ya kuzinduliwa rasmi kwa pikipiki mpya zenye unafuu mkubwa aina ya Daima na Everlast, zilizozinduliwa Jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe, uliongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Albert Chalamila, aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya

Pikipiki mpya za Daima na Everlast kuanza kusambazwa nchi nzima Read More »